Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,322
- 33,127
- Thread starter
- #21
@gfsonwin inakuwaje hao wanafunzi wanafika mpaka kidato cha kwanza hawajuwi Kusoma wala kuandika?ina maana walipitishwa vipi mpaka kufika kidato cha kwanza toka darasa la kwanza? Ame kweli Tanzania Elimu imeshuka sana.MziziMkavu ukitaka kujua kuwa wanafunzi hwengi hawajui kusoma wala kuandika nenda shuleni, hasa za kata kisha omba kufundisha kidato cha kwanza.
@gfsonwin inakuwaje hao wanafunzi wanafika mpaka kidato cha kwanza hawajuwi Kusoma wala kuandika?ina maana walipitishwa vipi mpaka kufika kidato cha kwanza toka darasa la kwanza? Ame kweli Tanzania Elimu imeshuka sana.
@gfsonwin Taifa linapokwenda huko ni pabaya sana inafika mpaka walim wanakuwa nao ni mafisadi?tutaendelea mbele kweli au ndio tunarudi nyuma?It is a long story MziziMkavu but wengine walwah kuulizwa wakajibu kuwa waalim wa darasa la saba waliwaambia watoe hela kisha wapewe majibu siku ya mtihani wa taifa. kinachofanyika ni mwanafunzi kupew booklet yenye majibu yote na yeye kukopy tu. ishau ni mwambie asome aibu au msomee aandike hajui. kuna mmoja alikataa mwenyee shule akasema mm siwez nimelazimishwa kwani sijui kusoma wala kuandika. aliapoulizwa zaid akasema baba alitoa hela akampa mwalim mimi nikabadilishiwa mtihani. sasa tell me tunakuza au tunauua hii elimu?
@gfsonwin Sasa hao wanafunzi wa kidato cha kwanza hawajui kusoma wala kuandika wana pasi kivipi mkuu?MziziMkavu ukitaka kujua kuwa wanafunzi hwengi hawajui kusoma wala kuandika nenda shuleni, hasa za kata kisha omba kufundisha kidato cha kwanza.
Siku ukiandika "KOJOA HAPA" ndipo watakapoacha. Na ukitaka wakutunze usafi waandikie "TUPA TAKA HAPA".