afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
Last edited by a moderator:
@afrodenzi ahhh hivyo hivyo tu umenitupa namna hivyo?
MziziMkavu, leo ndo nimepata muda wa kupumua...afrodenzi ahhh hivyo hivyo tu umenitupa namna hivyo?
@afrodenzi najuwa kila kitu rafiki yangu usijali naona leo ndio umepata nafasi kuchungulia j.F. Sio mbaya .
@Fredrick Ishengoma Hiyo yote inatokana na hao Viongozi wetu wa Serikali Uongozi wao ni mbovu sana Serikali itakayo chukuwa Uongozi Mwaka 2015 itabidi ilishughulikie hili Suala la kushuka kwa elimu Tanzania ee Mungu isaidie nchi yetu ipate Viongozi bora wenye kuipenda nchi yetu ameen.Mkuu MziziMkavu, nilisoma hii habari kwenye gazeti la Mwananchi la 09/04/2012, kwamba wanafunzi 5,200 waliofaulu na kuchaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka huu hawajui kusoma wala kuandika. Sasa hili ni janga la kitaifa na ni moja ya sababu Tanzania kufika hapa tulipo, miaka 50 ya Uhuru bado tunaogelea katika umaskini wa kutisha licha ya rasilimali lukuki zinazotuzunguka.
:coffee:
Wakati wa Mwl. tuliambiwa tuna maadui watatu Ujinga, Malazi na Umasikini. Hawa tunatakiwa kuwashinda ili kuwa na maisha BORA na si BORA maisha.Mkuu MziziMkavu, nilisoma hii habari kwenye gazeti la Mwananchi la 09/04/2012, kwamba wanafunzi 5,200 waliofaulu na kuchaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka huu hawajui kusoma wala kuandika. Sasa hili ni janga la kitaifa na ni moja ya sababu Tanzania kufika hapa tulipo, miaka 50 ya Uhuru bado tunaogelea katika umaskini wa kutisha licha ya rasilimali lukuki zinazotuzunguka.
:coffee:
kweli kabisa-watoto wengi hawawez kusoma-cha ajabu kuna walio faulu kuingia kidato cha kwanzailhali hawajui kusoma wala kuandika zaidi ya jina lao-kilka sehem kuna uozo
Ni kweli kabisa mkuu. Na hipo amekadiria tu ila idadi inaweza kuwa kubwa kuliko aliyoitaja.