Hivi ni kweli anavyosema kipanya?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,293
33,078
kati ya kila Wanafunzi 10 wanane hawajuwi kuandika wala kusoma.......
kukojowa.jpg
 
jana niliingia kwenye kahoteli flani kupata chakula..! nilishangaa sana kwamba nilihudumiwa na dada ambae hajui kusoma wala kuandika..! nilishangaa sana sana kuwa karne hii ya i-phone wewe hujui kusoma... wala kuandika sasa wewe utakua mgeni wa nani..!?
 
Back
Top Bottom