mwenzangu labda jamaa alikuwa anajifagilia aahhh mimi nina usafiri wa hatar ahh kumbe bwna kamwibukia mtoto na kibito sjui beb woka...oohh mimi mrefuu kumbe kadwafu kaajabu..mimi bwana presentabo kumbe ni kitu chca kufichwa uvungun..JAMAA ALIMJAZA DADA VTU ASIVYOKUWA NAVYO...muwe wakweli..ooh mi mkimbiaj mzuri wa riadha ahh kumbe jamaa ni kiwete...UNAZAN DADA HATAKUKIMBIZA..?
Hahahahahaaaa baelezee baelezeee:A S-fire1: