Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,108
- 2,508
Kuna siku nilitokea kuwasiliana na mdada fulani(jina kapuni),ingawa hatujawahi kuonana uso kwa uso.
Huyo dada kuna siku nilim-sms kwa meseji kama salamu, ikafika mahali, nilimuuliza amekula dinner? akanijibu "khaaa nnna njaaaa!!" nikashangaa na kumjibu "Ungeniambia mapema tungekula wote", alijibu "Jaman", aliniambia "njoo!" mahali alipo yeye ilikuwa usiku saa nne, nikajishauri kimoyomoyo nikamjibu kwa sasa ni usiku tufanye kesho(yaani siku inayofuata), alinijibu "Hapana, 2morrow ts a busy day!". Nikaona duh kweli alitaka anione nikajisukuma mpaka pale alipo na tukaonana tukaongea mawili matatu kwa muda mfupi nikaondoka.
Sasa nilipofika hm, nikamjulisha kwamba nimefika salama, sikuona JIBU mpaka hivi sasa.
Je, hiyo ni dharau ama?
Huyo dada kuna siku nilim-sms kwa meseji kama salamu, ikafika mahali, nilimuuliza amekula dinner? akanijibu "khaaa nnna njaaaa!!" nikashangaa na kumjibu "Ungeniambia mapema tungekula wote", alijibu "Jaman", aliniambia "njoo!" mahali alipo yeye ilikuwa usiku saa nne, nikajishauri kimoyomoyo nikamjibu kwa sasa ni usiku tufanye kesho(yaani siku inayofuata), alinijibu "Hapana, 2morrow ts a busy day!". Nikaona duh kweli alitaka anione nikajisukuma mpaka pale alipo na tukaonana tukaongea mawili matatu kwa muda mfupi nikaondoka.
Sasa nilipofika hm, nikamjulisha kwamba nimefika salama, sikuona JIBU mpaka hivi sasa.
Je, hiyo ni dharau ama?