Hivi ni kwanini huyu dada alifanya vile...??

Papa Mopao

JF-Expert Member
Oct 7, 2009
4,108
2,508
Kuna siku nilitokea kuwasiliana na mdada fulani(jina kapuni),ingawa hatujawahi kuonana uso kwa uso.

Huyo dada kuna siku nilim-sms kwa meseji kama salamu, ikafika mahali, nilimuuliza amekula dinner? akanijibu "khaaa nnna njaaaa!!" nikashangaa na kumjibu "Ungeniambia mapema tungekula wote", alijibu "Jaman", aliniambia "njoo!" mahali alipo yeye ilikuwa usiku saa nne, nikajishauri kimoyomoyo nikamjibu kwa sasa ni usiku tufanye kesho(yaani siku inayofuata), alinijibu "Hapana, 2morrow ts a busy day!". Nikaona duh kweli alitaka anione nikajisukuma mpaka pale alipo na tukaonana tukaongea mawili matatu kwa muda mfupi nikaondoka.

Sasa nilipofika hm, nikamjulisha kwamba nimefika salama, sikuona JIBU mpaka hivi sasa.

Je, hiyo ni dharau ama?
 
Kuna siku nilitokea kuwasiliana na mdada fulani(jina kapuni),ingawa hatujawahi kuonana uso kwa uso.

Huyo dada kuna siku nilim-sms kwa meseji kama salamu, ikafika mahali, nilimuuliza amekula dinner? akanijibu "khaaa nnna njaaaa!!" nikashangaa na kumjibu "Ungeniambia mapema tungekula wote", alijibu "Jaman", aliniambia "njoo!" mahali alipo yeye ilikuwa usiku saa nne, nikajishauri kimoyomoyo nikamjibu kwa sasa ni usiku tufanye kesho(yaani siku inayofuata), alinijibu "Hapana, 2morrow ts a busy day!". Nikaona duh kweli alitaka anione nikajisukuma mpaka pale alipo na tukaonana tukaongea mawili matatu kwa muda mfupi nikaondoka.

Sasa nilipofika hm, nikamjulisha kwamba nimefika salama, sikuona JIBU mpaka hivi sasa.

Je, hiyo ni dharau ama?

1. kwani ulimnunulia hiyo dinner? 2. Ukute matarajio yake au picha aliyovuta kichwani mwake haiendani na mtu aliyekutana naye pole sana ndugu
 
Kuna siku nilitokea kuwasiliana na mdada fulani(jina kapuni),ingawa hatujawahi kuonana uso kwa uso.

Huyo dada kuna siku nilim-sms kwa meseji kama salamu, ikafika mahali, nilimuuliza amekula dinner? akanijibu "khaaa nnna njaaaa!!" nikashangaa na kumjibu "Ungeniambia mapema tungekula wote", alijibu "Jaman", aliniambia "njoo!" mahali alipo yeye ilikuwa usiku saa nne, nikajishauri kimoyomoyo nikamjibu kwa sasa ni usiku tufanye kesho(yaani siku inayofuata), alinijibu "Hapana, 2morrow ts a busy day!". Nikaona duh kweli alitaka anione nikajisukuma mpaka pale alipo na tukaonana tukaongea mawili matatu kwa muda mfupi nikaondoka.

Sasa nilipofika hm, nikamjulisha kwamba nimefika salama, sikuona JIBU mpaka hivi sasa.

Je, hiyo ni dharau ama?
Anakufikria
 
Hana chako huyo! Sahau kabsa, ungejipanga na kutoka kwa ful toz... Nilishalamba pusi kwa staili hyo...
 
hakutegemea kama ungekua ni wewe.
imagination yake imekua tofauti na reality.
 
Kuna siku nilitokea kuwasiliana na mdada fulani(jina kapuni),ingawa hatujawahi kuonana uso kwa uso.

Huyo dada kuna siku nilim-sms kwa meseji kama salamu, ikafika mahali, nilimuuliza amekula dinner? akanijibu "khaaa nnna njaaaa!!" nikashangaa na kumjibu "Ungeniambia mapema tungekula wote", alijibu "Jaman", aliniambia "njoo!" mahali alipo yeye ilikuwa usiku saa nne, nikajishauri kimoyomoyo nikamjibu kwa sasa ni usiku tufanye kesho(yaani siku inayofuata), alinijibu "Hapana, 2morrow ts a busy day!". Nikaona duh kweli alitaka anione nikajisukuma mpaka pale alipo na tukaonana tukaongea mawili matatu kwa muda mfupi nikaondoka.

Sasa nilipofika hm, nikamjulisha kwamba nimefika salama, sikuona JIBU mpaka hivi sasa.

Je, hiyo ni dharau ama?

Umejaribu kumpigia sim?
 
au mzee unasura ya kiumeni sana, pengine alitarajia bomba ya tozi, u never know.
 
Kuna siku nilitokea kuwasiliana na mdada fulani(jina kapuni),ingawa hatujawahi kuonana uso kwa uso.

Huyo dada kuna siku nilim-sms kwa meseji kama salamu, ikafika mahali, nilimuuliza amekula dinner? akanijibu "khaaa nnna njaaaa!!" nikashangaa na kumjibu "Ungeniambia mapema tungekula wote", alijibu "Jaman", aliniambia "njoo!" mahali alipo yeye ilikuwa usiku saa nne, nikajishauri kimoyomoyo nikamjibu kwa sasa ni usiku tufanye kesho(yaani siku inayofuata), alinijibu "Hapana, 2morrow ts a busy day!". Nikaona duh kweli alitaka anione nikajisukuma mpaka pale alipo na tukaonana tukaongea mawili matatu kwa muda mfupi nikaondoka.

Sasa nilipofika hm, nikamjulisha kwamba nimefika salama, sikuona JIBU mpaka hivi sasa.

Je, hiyo ni dharau ama?

:):):):):):)
 
JIBU HAYO MASWALI KWANZA NI YA MSINGI SANA, JE, ULIMNUNULIA DINNER GANI? ULIPIGA PAMBA ZIPI? JE, WEWE MWENYEWE UNAJIONA PRESENTABLE??? NA MLIPIGA STORY GANI? MAANA MAONGEZI PIA YANACHANGIA...SIO UFIKE PALE UANZE KUONGEA HABARI ZA DOWANS... NA UVCCM...hahahhahh :nono:
 
andazi lilikuwa limeshaumuka linataka kuchomwa - umepoteza chance na ungekuwa karibu yangu
ningekuzinguwa kibao. Next time mchukue Blue_Face:shock:
 
Kama ulisahau kupiga marashi anayoyapenda ukaenda na harufu ya kikwapa imekula kwako....wadada nao wana vigezo
 
lol, jf bana.

We mweke hadharan huyo mtuhumiwa otherwise ifunge tu hii thread, haina maslahi kwa taifa.
 
Kuna siku nilitokea kuwasiliana na mdada fulani(jina kapuni),ingawa hatujawahi kuonana uso kwa uso.

Huyo dada kuna siku nilim-sms kwa meseji kama salamu, ikafika mahali, nilimuuliza amekula dinner? akanijibu "khaaa nnna njaaaa!!" nikashangaa na kumjibu "Ungeniambia mapema tungekula wote", alijibu "Jaman", aliniambia "njoo!" mahali alipo yeye ilikuwa usiku saa nne, nikajishauri kimoyomoyo nikamjibu kwa sasa ni usiku tufanye kesho(yaani siku inayofuata), alinijibu "Hapana, 2morrow ts a busy day!". Nikaona duh kweli alitaka anione nikajisukuma mpaka pale alipo na tukaonana tukaongea mawili matatu kwa muda mfupi nikaondoka.

Sasa nilipofika hm, nikamjulisha kwamba nimefika salama, sikuona JIBU mpaka hivi sasa.

Je, hiyo ni dharau ama?

Hakutegemea Mopao yuko hivyo ndiyo mana kakupotezea.. Au usikute message yenyewe ilijitosheleza maelezo kwahiyo hapakuwa na cha kujibu lakini wewe unajishtukia mkuu!!
 
Huna haja ya kujiuliza kama umedharauliwa ama la wakati ukweli ni NDIO,mpotezee tu kama alivyofanya yeye.
 
alikuwa anataka akuone fizikali sa alipokuona UKAWA NJE YA VIWANGO na ndo mana akakupotezea
ungekuwa umemvutia basi angekuwa wa kwanza kukuchek..umefika dia?lala salama zngekuwa nyingiiiiiiiiiiiii

....alivyokuona akajisemema kimoyo moyo mtu mwenyewe nayeongea nae kwenye cm ndo uyu puuuuuuuuuuuuu ...anion wala kuniskia tena bastad,,.....!!!
ni michezo tu iyo km ile mnayotuchezeaga wakike so tuliza jambia mtu usipanmge kuchinja meza maumivu pata panadol ujisikilizie uanze upya..
 
JIBU HAYO MASWALI KWANZA NI YA MSINGI SANA, JE, ULIMNUNULIA DINNER GANI? ULIPIGA PAMBA ZIPI? JE, WEWE MWENYEWE UNAJIONA PRESENTABLE??? NA MLIPIGA STORY GANI? MAANA MAONGEZI PIA YANACHANGIA...SIO UFIKE PALE UANZE KUONGEA HABARI ZA DOWANS... NA UVCCM...hahahhahh :nono:


teh teh apo chacha...unaenda kukutana na bnt wa kiislamu ushung 24 7 eti wajipigilia kata k ..do u thk atakupa nxt page..?

unaenda kumit na dada do afu we wavaa kiluga luga km mwimba kwaya ya bukuku wat do u thk?

mdada wa salun afu we wampigisha stor za dowans ,mwakyembe,bod ya mikopo ahh unazan atakutamana tena?

waenda kukutana na mdada class kaenda shule kabukua afu kumit nae tu waanza kumpigisha stor za yaan ndg zangu mimi yaan wananitesa,boss wangu kaninyima trip...ahh ataona uyu ubongo wake tambala..atasepa

B CAREFUL UNAPOENDA KUKUKUTANA NA MSICHANA ..soma anataka kusikia nini

unakuja kwangu afu et unaanza na ..ahh jaman rose matairi yamepanda bei skuizi yaan tyre moja ni lak 6 ahh NTAKUNUNIA IMMEDIATELY...
BYEEEEEE:car:
 
alikuwa anataka akuone fizikali sa alipokuona UKAWA NJE YA VIWANGO na ndo mana akakupotezea
ungekuwa umemvutia basi angekuwa wa kwanza kukuchek..umefika dia?lala salama zngekuwa nyingiiiiiiiiiiiii

....alivyokuona akajisemema kimoyo moyo mtu mwenyewe nayeongea nae kwenye cm ndo uyu puuuuuuuuuuuuu ...anion wala kuniskia tena bastad,,.....!!!
ni michezo tu iyo km ile mnayotuchezeaga wakike so tuliza jambia mtu usipanmge kuchinja meza maumivu pata panadol ujisikilizie uanze upya..
Mh kumbe? Cji tena kwenye kideti cha leo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom