PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Mkuu upo mitaa ya wapi? Mbona huku nilipo haujakatwa?
njiro karibu na walipofunga majini ya agreko
Mkuu upo mitaa ya wapi? Mbona huku nilipo haujakatwa?
Mkuu upo mitaa ya wapi? Mbona huku nilipo haujakatwa?
njiro karibu na walipofunga majini ya agreko
hapa moshi umerudi sasa hivikwa arusha na moshi leo ni siku ya pili na mpaka sasa hakuna umeme na inawezekana kuna mgao au hitilafu ya karibu nchi nzima
Hiyo sio dawa kuhama nchi. Mungu alichagua uwe Tanzania, hakukosea, inachotakiwa fukuza wayu kazi. Leta mabadiliko ya fikra kwa wote wanaokuzunguka na mema ya nchi tutayaona.TANESCO is dead.Mbozi(mbeya)hakuna umee.Unawaka midnight tuu.Nadhani bora kuhama nchi.