Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mgao huu unaendelea mpaka lini
mbona umeweka jukwaa la mabenzi
hii imekuwa na interest nayo nisaidie[ SUBIRI TAARIFA ZA KIINTELIJENSIA KUTOKA TANESCO. STAY TUNE!
hii imekuwa na interest nayo nisaidie[ SUBIRI TAARIFA ZA KIINTELIJENSIA KUTOKA TANESCO. STAY TUNE!
taarifa za kiintelejensia zipi tena mkuu
Kwa mvua zipi
Kwani zile EL alizoenda kununua si bado zipo.....hizo hizo tutazitumia kujaza mabwawa yetu.
kuwa muwazi kidogo sijakusoma mama sweetlady
Yaani namaanisha mvua za Mungu zikigoma tutatumia zile alizoenda kununua EL huko ughaibuni!....Umenisoma sasa eeh?
Kwani zilihifadhiwa kwenye contena gani? leta habari
Hehehehe .....unataka nikwambie ukaziibe eeh?.....lol!
Mwaya telitaibi mie hata sijui chochote ila nahisi mgao wa umeme umeanza kimya kimya manake hata huku kwetu wanaukata sa2 asubuhi wanaurudisha sa 12 jioni toka jumanne.....ila leo wameuacha toka asubuhi so tunategemea wauchukue mda wowote kuanzia sasa!
Kaa karibu na mahali kuna RegionHospitali,Central police,Idara ya maji,Benk kuu,
Ukibahatika kupata line ya umeme inayokwenda sehemu hizi we mgao utausikia kwenye bomba tu.
Au nikutafutie nyumba mtaani kwetu sisi mgao tunasikia kwenye bomba tu.
mmhh naona tupo pamoja. tujuzane likitokea
Tatizo lao tanesco huwa hawatoi tangazo!