Na wangevunja au kukataa hicho kiapo wangefanywaje?
Kama kilichomtokea Mhando
Ni fedheha kwa serikali kusema uongo!
Ni aibu kwa viongozi wa TANESCO kujidanganya wenyewe!
Ni ufisadi mkubwa kuwasababishia wananchi hasara kutokana na kukosa huduma ya umeme ya uhakika!
Ni serikali isiyojali pekee inayoweza kubaki madarakani kwa ulaghai!