wambagusta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 2,804
- 2,252
wanahogopa kubanwa kwenye kodi na kurudishwa makwao
wanahogopa kubanwa kwenye kodi na kurudishwa makwao
wanahogopa kubanwa kwenye kodi na kurudishwa makwao
hawa jamaa wote ni wanachama wa ccm,kwa nini hawaendi upinzani?
Siku CHADEMA wakiwa Ikulu nao watakuwa wanachama wa CHADEMA.
Masilahi gani Mkuu.... Miaka mia nane {800} wapo humu nchini.... toeeni nafasi uone watakavo badilisha nchi hii !!! Funguamacho uone miji waliojenga kwa mda mfupi tuu!! Au soma historiya au uliza wazee walikuwa ktk serekali ya mkoloni !! Wewe nenda kakaae foleni Hospitali.......Upinzani ukishinda, watahamia huko, maana wenyewe wanadai chama chochote kikikamata dola, wao wako huko, kwa sababu ya maslai yao.
vyombo vya usalama?hivi wanaendaga shule?
Masilahi gani Mkuu.... Miaka mia nane {800} wapo humu nchini.... toeeni nafasi uone watakavo badilisha nchi hii !!! Funguamacho uone miji waliojenga kwa mda mfupi tuu!! Au soma historiya au uliza wazee walikuwa ktk serekali ya mkoloni !! Wewe nenda kakaae foleni Hospitali.......
Wewe umelala au unasuasua hujui ulisemaloooo !!Miaka 800 ninini ndugu yangu, suala ni kwamba uwepo wao umesaidia nini maana naona unachanganya faida za kutawaliwa na gharama za uhuru.
Kwanini nini nchi si yao wakati ni watanzania wewe ni mbaguzi huna lolote tembea ulimwengu uone watu wanavyoishi, hakuna mambo hayo sasa ulimwenguni, Dunia imekua kama kisiwa kidogo, kila aina ya watu wanaishi pamoja na watu wanajulikana kwa uraia wao katika nchi wanayo ishi, watu wamevuka hiyo akili yako ya kutizama watu kwa rangi au kabila, kinachotizamwa ni uraia wa mtu ikiwemo hapa kwetu Tanzania.nchi si yao
hawana uzalendo
Upinzani ukishinda, watahamia huko, maana wenyewe wanadai chama chochote kikikamata dola, wao wako huko, kwa sababu ya maslai yao.
Wewe umelala au unasuasua hujui ulisemaloooo !!
Eeeh, hiyo lugha unayoongea ni kwenu ? Hiyo lafudhi unayoitumia uliileta wewe? Hiyo Amani unayo jivunia ulitunga kwa mantiki gani? Huo umoja wa nchi hii uliufunamanisha na katiba gani? Mwambao hadi kigoma na kaskazini hadi kusini mwa nchi wote kuwa na lugha moja ilikuwa kazi ya chifu gani au mtemi gani ???
Biashara na mashule yaliyosomesha wataalamu na viongozi wa nchi hii, jee ni shule za msingi na za kata?? Aamka wewe!!
Viwanda na majengo yaliyotaifishwa yalikuwa ya akina nani? bado kuna mengi sina wasaa wakupoteza hapa!!! Jioni njema alamsiki,,
Unaweza kuthibitisha maneno yako?
Kila Mtanzania ana haki ya kuchagua Chama anachopikenda. Kila mtu anachagua Chama kitakacholinda maslahi yake, hii ndio demokrasia!