Mnawapa ubunge gani? Wakati ubunge wa viti maalam mmpeana wachagga kwa wachagga! na kwa kujuana kuna waarabu gani au wahindi mmewapa? Acheni unafikimbona tunawapa ubunge?
Mimi nilikuwa sijui ilo tunashukuru kwa kutufahamishaAfadhali wazungu tunawaona ndani ya CDM! Kuna mapadri wengi wakizungu hapa TZ!
Kaka, CDM si wanasema Tanzania chama cha upinzani ni kimoja tu CDM, sasa waingie upinzani gani? Ebu tafahamisheWakiingia upinzani(hasa wahindi) wattahiriwa upya bila ganzi