Tokyo40
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 2,065
- 1,924
Eeee, Kweli waarabu na Wahindi wamewachia nafasi waChina kujiunga na vyama vya Siasa, kama vile walivyowaachia nafasi ya biashara ndogo ndogo za mitaani( kuuza pweza, kuuza karanga na mihogo/mahindi) Kesho tutaona ikulu walioijenga waarabu enzi zileee..itakaliwa na Afro-Chinese !! tusione ajaabu Mungu atatuthibitishia.... subira ya vuta heri.. Tokyo40 mfundishe kaka yetu Kanina na mjulishe Dadaetu rosemarie vitisho tuvyo wapa matajiri nchini.... Na wala sii mbali tulimwaga ngano za B A K H R E S S A......
Mkuu. Hao wote wanaelewa, ila ubishi hao ni wa chuki, dhiki ya maisha na ubaguzi wa roho zao. Huwezi kuwapa fundisho watu kama hao.
Bora uwaachia na usingizi wao.......
Last edited by a moderator: