johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,994
Tofauti na vyama vingine vya Upinzani hawa Chadema wanaamini katika.Mungu wa mbinguni, hawanaga Ushirikina kabisa
Kwa mfano niliona clip Kiongozi wa Chama kikuu cha Upinzani Zanzibar akiwa Kigoma anaruka migongo ya Wanachama Wazalendo, nilishangaa sana
Mungu Ibariki Chadema 😂🔥
Mlale Unono!
Kwa mfano niliona clip Kiongozi wa Chama kikuu cha Upinzani Zanzibar akiwa Kigoma anaruka migongo ya Wanachama Wazalendo, nilishangaa sana
Mungu Ibariki Chadema 😂🔥
Mlale Unono!