kazi kweli kweli...yupo........... tena wapo wengi kidogo..........................
mwalimu julius nyerere alivumbua mwenge wa uhuru na falsafa yake.................
Dr jakaya kikwete alivumbua falsafa ya ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya............
nk.nk.
Kama hakuna mweusi,vile mchina na mhindi.
Lakini kila mtu anajua wazungu walianza na kuchangamka mapema kwa ugangster wao.
Angalia Spanish walivyokwenda america,Wareno walipowasili Brazil na British walivyotufanya.
Lakini kila mzungu anajua Mchina na Mhindi wanakwenda kasi,hawa hawana uvumbuzi mkubwa mpaka sasa.Lakini wameweza kucopy kiasi kikubwa mpaka mzungu anaogopa.
labda sisi tumgeweza kutumia resources zetu vizuri kubuy into status.Angalia waarabu wenye mafua ,UAE hawajangua kitu ,lakini wamejitahidi kutumia resources vizuri.
Hivi kuna mvumbuzi au scientist wa nguvu like elbet eistern, Galileo, Isaac newton, Kekule, Kalman , sharpov, n.k ambaye ni black?
Kama yupo anaitwa nani na alifanya nini?
Kama hakuna ni kwanini ?
NB: Ni swali tu ktk kutaka kujua.
Hivi kuna mvumbuzi au scientist wa nguvu like elbet eistern, Galileo, Isaac newton, Kekule, Kalman , sharpov, n.k ambaye ni black?
Kama yupo anaitwa nani na alifanya nini?
Kama hakuna ni kwanini ?
NB: Ni swali tu ktk kutaka kujua.
mkuu, katika kipindi hao uliwataja walikuwa wanafanya uvumbuzi, watu weusi kwa ujumla walikuwa na matatizo chungu nzima kama Slavery, Ukoloni, nk. Pia, Africa (sio pwani) kwa miaka mingi haina mawasiliano yeyote na dunia nzima, kwahiyo uvumbuzi wowote ulikuwepo lazima haukuweza kufahamika. Pia tamaduni ya nchi nyingi za africa hazikuwa na maandishi. Kwahiyo, record-keeping yeyote ilikuwa kwa mdomo. Kwahiyo historia yeyote ilikuwa skewed based on the loyalty of the communicator.
Kwahiyo hatuwezi fahamu kwa uhakika ni uvumbuzi gani ulifanywa na "wanasayansi" wetu. Uvumbuzi wowote ambao ungefanywa na watu weusi ni ili kukabiliana na maisha katika civilization zao. Binafsi ninadhani kuna teknolojia kadhaa tulizokuwa nazo kule kijijini kwetu ambazo kwa mantiki ya maisha na mazingira ya kule, ilikuwa ni uvumbuzi safi tu. mfano, mtu akigongwa na nyoka huwa walikuwa wanakupa aina fulani ya jiwe ambalo linanyonya sumu katika kidonda. (soma zaidi http://en.wikipedia.org/wiki/Snake-stones). Hii imekuwa ikitumika kijijini kwa miaka nenda rudi, na ninadhani ilivumbuliwa independently from other world civilisations. Teknolojia nyingine nyingi zilikuwa labelled as "uchawi" by the so called missionaries.
Kwa haraka haraka, majina mashuhuri ya wanasayansi na wavumbuzi wanaofahamika na ni weusi ni kama:
http://en.wikipedia.org/wiki/Arthur_Lewis_(economist)
http://en.wikipedia.org/wiki/Ronald_Mallett
http://en.wikipedia.org/wiki/Vivien_Thomas
http://en.wikipedia.org/wiki/Ben_Carson
Nimependa hiyo picha yako ya huyo mchumi mkali sana Rweyemamu..
Waafrika, tena weusi, wamegundua vitu vingi sana kuanzia vitu ambavyo bila hivyo, basi dunia ya sasa isingekuwa kama ilivyo.
-Alphabet, tunayoitumia sasa hivi, iligunduliwa Misri ya zamani(Kemet).
-Pythagoras theorem ilivumbuliwa na Wamisri 2000bc kabla hata wagiriki 'kugundua' mnamo 400bc. inasemekana wagiriki walicopy kutoka kwa waafrika hawa weusi.(Na wanakubari hili kwenye maandishi yao).Ukisoma Kahun papyrus inakuonyesha kwa maandishi yao wenyewe pythagors theorem ya wamisri.
-Ni waafrika tena weusi wa misri waliogundua calender , na calendar yao ilikuwa ina siku 365 kama calendar tunayoitumiaa sasa hivi.
Piramidi za Nubia na misri ni precision surveying za kwanza duniani majengo haya yalijengwa kwa ujuzi mkubwa(miaka 4500) iliyopit kiasi cha kwamba mpaka sasa bado yapo.
Hizi ni baadhi ya old inventions za waafrika.