Hivi kuna madhara gani ukimnyonya mpenzi wako sehemu za siri?

Mnyonye tuu hakuna madhara bora mradi awe msafi na asiwe na magonjwa ya zinaa tena siku nyingine inabidi umnyonye sehemu ya kutolea haja kubwa wenzako tunafika huko.

wewe Arvin sloane unanyonya anus for godsake , unacheza na chollera eeh! jamani lets be serious and educative what i know anus is very sensitive part as it gives out wereva, sucking it is very risk ma dia bro lol. assume kama huyo patna anaumwa ugonjwa wowote hata minyoo tu, mayai yake yanaweza kuwa yana leak nje no matter katoka kuoga au vipi. jamani manajiua sasa. we must have limitations. tusifanyie sifa wapendwa.

Madaktari Mupirocin mna kazi, lakin ndo mjue some of the diarrealgenic diseases zinatokana na kula mavi kutoka katika ****** ya watu.
 
Last edited by a moderator:
wewe Arvin sloane unanyonya anus for godsake , unacheza na chollera eeh! jamani lets be serious and educative what i know anus is very sensitive part as it gives out wereva, sucking it is very risk ma dia bro lol. assume kama huyo patna anaumwa ugonjwa wowote hata minyoo tu, mayai yake yanaweza kuwa yana leak nje no matter katoka kuoga au vipi. jamani manajiua sasa. we must have limitations. tusifanyie sifa wapendwa.

Madaktari Mupirocin mna kazi, lakin ndo mjue some of the diarrealgenic diseases zinatokana na kula mavi kutoka katika ****** ya watu.

mweh.....kweli ukimchunguza bata humli
 
Last edited by a moderator:
Kuna siku nimezama Chumvini nikapotelea huko ...kuibuka Daah vuzi likawa limenasa kwa jino ..baada kumaliza zzoez langu ikabidi ntafute 'Toothpick' kama nimekula Mishikaki vile.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Inataka moyo sana ila akikukoleza waweza nyonya hata bila kukuomba unyonye, lkn mademu wetu nao wachafu haifai, Fungus zinaambukiza,
 
Kwani wewe ukinyonywa unajisikiaje? Wasichana ndo hawana kinyaa? Basi na wewe usitake kunyonywa, maana wanaume wengi mnapenda kunyonywa ila kuwafanyia wenzenu eti kinyaa! Lol..
 
Kwani wewe ukinyonywa unajisikiaje? Wasichana ndo hawana kinyaa? Basi na wewe usitake kunyonywa, maana wanaume wengi mnapenda kunyonywa ila kuwafanyia wenzenu eti kinyaa! Lol..

umeona eeh, ila du wanawake tunatisha aisee mweh!
 
My girl friend ananisumbua eti anatamani kunyonywa uchi wake, what is the side effect of that?
Afu mimi nina kinyaaa sana, naweza nikamtapikia! Afu wanawake wakinyonywa wanahisi nini hasa?

Kama ni msafi na hana magonjwa yoyote ya zinaa (kupima muhimu kabla ya kuamua kunyonya) basi hakuna madhara yoyote.
 
dah umestukia mkuu eehh??
salito siyo kwamba kila mtu humu ndani ni docta hapana ila kila mtu anatoa uzoefu wake tu. ina maana kama asingejibiwa hata na sisi tuliojibu nini ingekuwa maana ya hii thread? wengine ni waalim tu na tunaongelea from experience kwan haya ndiyo tunayofundisha kila siku.

usije ukamfanya menzio hata hamu ya kusoma hizi comments ikamwisha. asome aangalie ushauri gani unamfaa basi.
 
Last edited by a moderator:
mapokeo na technolojia ndio hayo yanayoleta haya yote. hivi babu zetu walifanya hivyo? Mungu ameweka kila kitu kifanye kazi kama alivyokuwa amekiweka sioni haja ya kunyonya sehemu za siri maana madhara ni mengi kuliko raha. Fikiria kama unavyojua wanawake/wanaume wa siku hizi i vicheche sana unaweza kuta kutwa zima alikuwa na pigwa/piga, wewe jioni nawe waingia huko huko jamaani ni kinyaa tusifuate utandawazi, tufuate mila zetu zinasemaje
 
teh teh kaka ji2me coz huyo kuna m2 alishamnyonya na anajua utamu wake, kama unaona kinyaa unatafuta asali au choclate unampaka kuanzia kwenye matit kushuka chn then unaanza kumnyonya mwil wote mpaka unafika huko kunako utaona jins ni rahs, muhmu ni awe msafi c unajua kuna wengne wakishapandwa mizuka tayar mashne inaanza kutoa harufu hapo ndo kaz ipo.
 
Angalieni tu Maviwembe yenu ya TOPAZ na Fyekeo tehtehteh. tabia zenu za kugawa siri zenu ndio msubiri na magonjwa ya zinaa kusema sio mfiche na kuambukiza wenzenu utoto tu umewajaa Girlfriend sijui BF shaurizenu mtu hamna haki yakuwa pamoja alafu baadae ndio mnalalamika Girlfreind kanikimbia oh BF kanikimbia kwani ilikuwa haki yako?
 
Back
Top Bottom