Ewe Sikio la kufa usipite bila ya kusoma hapa!
Kunyonyana sehemu za siri kitendo hiki hutokea pale mwanamke anapoweka uume wa mwenza wake mdomoni mwake na kuanza kunyonya kama pipi, au mwanaume kuingiza ulimi ukeni pamoja na kunyonya via vya mwanamke pindi wapenzi hawa wawapo faragha.
Kumekua na ongezeko la kitendo hiki kwa vijana na imekua kama ni sehemu ya mahaba kwa wapenzi hata inafikia hatua mwanaume ANAONA MKE/MPENZI WAKE HAJUI MAHABA KAMA HAJAMNYONYA UUME AU MWANAMKE KUONA HIVO ASIPONYONYWA YEYE, VILIVILE KUNA WANAWAKE WANAONA KUFANYA MAPENZI BILA KUNYONYA NI USHAMBA.
Vyumbani mambo mengi sana hutokea katika suala zima la mapenzi, nitaenda kusema kwa ufupi madhara ya kunyonya
KISONONO CHA KOO.
Kama unafanya hiki kitendo halafu ukute mwanamke/mwanaume ana magonjwa ya zinaa kama kisonono inakua rahisi kwa mnyonyaji kuambukizwa.
kumbukeni kama mwanamke ana kisonono sio rahisi kumgundua kama ilivyo kwa mwanaume.TUWENI MAKINI.
SARATANI YA KOO.
Hii hasa huwapata wanawake ambao hupenda kunyonya uume na hivo kuwaweka katika hatari ya kuambukizwa vimelea wanao sababisha saratani hiyo mfano HPV
KUBADILISHANA BACTERIA.
Kama wote tunavofaham ya kwamba kwenye miili yetu kuna bacteria Rafiki(normal flora); sasa hao bacteria wakiingia sehem ambayo sio yake huleta madhara kwani wameingia eneo ambalo hawajazoea, wataingia sehemu mpya kwa kuwanyonya kutoka kwa mwanamke au mwanaume.
Kupata maambukizi ya HIV
Kupata madonda mdomoni
Kujiweka katika hatari ya kupata saratani za mdomo, ulimi nk
SASA WADAU WANGU MPAKA HAPO NIMEFIKIA MWISHO WA MAKALA FUPI.
TUJIHADHARI NA VITENDO HATARISHI AMBAVYO TUMEIGA KUTOKA KWA WAZUNGU.
SOTE TUNAFAHAMU KAZI YA MDOMO NA ULIMI KWA HIYO TUSIVIFANYIE KAZI AMBAYO SIO YAKE
ACHENI KUSHABIKIA PAGE, MAKUNDI YA WATSAP, VIDEO AMBAZO ZINAHAMASISHA UFANYAJI WA HAYA MAMBO ZIPUUZENI KWANI HAO WANAOHAMASISHA WENGI WAO NI WAFANYA BIASHARA WA NGONO NA HAWAWATAKII MEMA.
VIJANA WENGI WA KIKE NA KIUME WAACHE HII TABIA
C&P From FB - IslamicNews
Kunyonyana sehemu za siri kitendo hiki hutokea pale mwanamke anapoweka uume wa mwenza wake mdomoni mwake na kuanza kunyonya kama pipi, au mwanaume kuingiza ulimi ukeni pamoja na kunyonya via vya mwanamke pindi wapenzi hawa wawapo faragha.
Kumekua na ongezeko la kitendo hiki kwa vijana na imekua kama ni sehemu ya mahaba kwa wapenzi hata inafikia hatua mwanaume ANAONA MKE/MPENZI WAKE HAJUI MAHABA KAMA HAJAMNYONYA UUME AU MWANAMKE KUONA HIVO ASIPONYONYWA YEYE, VILIVILE KUNA WANAWAKE WANAONA KUFANYA MAPENZI BILA KUNYONYA NI USHAMBA.
Vyumbani mambo mengi sana hutokea katika suala zima la mapenzi, nitaenda kusema kwa ufupi madhara ya kunyonya
KISONONO CHA KOO.
Kama unafanya hiki kitendo halafu ukute mwanamke/mwanaume ana magonjwa ya zinaa kama kisonono inakua rahisi kwa mnyonyaji kuambukizwa.
kumbukeni kama mwanamke ana kisonono sio rahisi kumgundua kama ilivyo kwa mwanaume.TUWENI MAKINI.
SARATANI YA KOO.
Hii hasa huwapata wanawake ambao hupenda kunyonya uume na hivo kuwaweka katika hatari ya kuambukizwa vimelea wanao sababisha saratani hiyo mfano HPV
KUBADILISHANA BACTERIA.
Kama wote tunavofaham ya kwamba kwenye miili yetu kuna bacteria Rafiki(normal flora); sasa hao bacteria wakiingia sehem ambayo sio yake huleta madhara kwani wameingia eneo ambalo hawajazoea, wataingia sehemu mpya kwa kuwanyonya kutoka kwa mwanamke au mwanaume.
Kupata maambukizi ya HIV
Kupata madonda mdomoni
Kujiweka katika hatari ya kupata saratani za mdomo, ulimi nk
SASA WADAU WANGU MPAKA HAPO NIMEFIKIA MWISHO WA MAKALA FUPI.
TUJIHADHARI NA VITENDO HATARISHI AMBAVYO TUMEIGA KUTOKA KWA WAZUNGU.
SOTE TUNAFAHAMU KAZI YA MDOMO NA ULIMI KWA HIYO TUSIVIFANYIE KAZI AMBAYO SIO YAKE
ACHENI KUSHABIKIA PAGE, MAKUNDI YA WATSAP, VIDEO AMBAZO ZINAHAMASISHA UFANYAJI WA HAYA MAMBO ZIPUUZENI KWANI HAO WANAOHAMASISHA WENGI WAO NI WAFANYA BIASHARA WA NGONO NA HAWAWATAKII MEMA.
VIJANA WENGI WA KIKE NA KIUME WAACHE HII TABIA
C&P From FB - IslamicNews