Hivi kuna madhara gani ukimnyonya mpenzi wako sehemu za siri?

My girl friend ananisumbua eti anatamani kunyonywa uchi wake, what is the side effect of that?
Afu mimi nina kinyaaa sana, naweza nikamtapikia! Afu wanawake wakinyonywa wanahisi nini hasa?
.

TONGINDI Side efects ni nyingi ... lakini baadhi yake ni kama hivi hapa chini ... akili ya kuambiwa ... changanya na ya kwako

url


url


url
 
TRUE STORY: Kuna mtu namfahamu wana jamii mpaka leo hii navyokwambieni haoni vizuri,alimnyonya demu mmoja na alipokuwa ana-climax kuna vimaji viliruka nje vikamuingia machoni jamaa aliwashwa sana macho ikabidi aamue kwenda hospitali baada ya kuona haoni vizuri,amepewa dawa anatumia ingawa hajamueleza doctor wake kilichomsibu,so be careful ukiona mpenzi/mke wako anakaribia ku-climax fumba macho yako kwa usalama zaidi unaweza ukapofuka macho.
 
heeeeeeeee mazito haya usafi ni muhimu n mi naamin romance zipo kibaoo ambazo ukimfanyia mpenzi wako wala anaweza hata asikuambie beib suck mee walaaa n wote mkaenjoy sahiz magonjwa ni mengi tena mnoo si kwa wadada na si kwa wakaka tuwe makin tuu usitafute umwamba huku unajiteketeza mwenyewe jaman. Ofcoz kunyonywa kuna raha na sie kila anaeweka ulimi ndo fund laa ila kuna mafund wazuri tuu.
 
wewe Arvin sloane unanyonya anus for godsake , unacheza na chollera eeh! jamani lets be serious and educative what i know anus is very sensitive part as it gives out wereva, sucking it is very risk ma dia bro lol. assume kama huyo patna anaumwa ugonjwa wowote hata minyoo tu, mayai yake yanaweza kuwa yana leak nje no matter katoka kuoga au vipi. jamani manajiua sasa. we must have limitations. tusifanyie sifa wapendwa.

Madaktari Mupirocin mna kazi, lakin ndo mjue some of the diarrealgenic diseases zinatokana na kula mavi kutoka katika ****** ya watu.
gfsonwin hahahaaha nilitoa angalizo kuwa lazima patna wako awe msafi ili kuepuka hlo uliloelezea hapo.
 
Last edited by a moderator:
TRUE STORY: Kuna mtu namfahamu wana jamii mpaka leo hii navyokwambieni haoni vizuri,alimnyonya demu mmoja na alipokuwa ana-climax kuna vimaji viliruka nje vikamuingia machoni jamaa aliwashwa sana macho ikabidi aamue kwenda hospitali baada ya kuona haoni vizuri,amepewa dawa anatumia ingawa hajamueleza doctor wake kilichomsibu,so be careful ukiona mpenzi/mke wako anakaribia ku-climax fumba macho yako kwa usalama zaidi unaweza ukapofuka macho.

Hivi shida yote hii ya nini?
 
Jamani watu acheni kukufuru,kumnyonya mwanamke kuna madhara mengi sana mfano fangasi za midomo,unaweza kupata bacteria,nawashauri wanaume wenye tabia hiyo ya kunyonya uchi wa wanawake zao waache zao.
 
TRUE STORY: Kuna mtu namfahamu wana jamii mpaka leo hii navyokwambieni haoni vizuri,alimnyonya demu mmoja na alipokuwa ana-climax kuna vimaji viliruka nje vikamuingia machoni jamaa aliwashwa sana macho ikabidi aamue kwenda hospitali baada ya kuona haoni vizuri,amepewa dawa anatumia ingawa hajamueleza doctor wake kilichomsibu,so be careful ukiona mpenzi/mke wako anakaribia ku-climax fumba macho yako kwa usalama zaidi unaweza ukapofuka macho.

Mkuu ingekua vyema wakati wa kufanya hivyo basi wavae helment kama za pikpik au wavae miwani ya kuogelea kuzuia maji
 
Awe msafi kwa maana anajua kujisafisha including kujifukiza ili kuonoda harufu ya shombo, pia anaweza mwagia ice cream itasaidia mnyonyaji kuramba na mnyonywaji kusikia utamu.

Watu wenye fani zao bwana, utawajua tu!
 
Mapenzi ni sanaa yanahitaji umakini wa hali ya juu kushindwa kuwa makini inaweza kukuletea madhara makubwa kiafya pia kisaikologia. Ni vizuri ninyi wawili KE na ME mkawa mnafahamiana kwa kila kitu mfn TABIA, AFYA na mazoea yenu. Tabia itawafanya mjuane nini kila mmoja wenu anakipenda na kwa wakati gani pia nini hakipendi na kwa wakati gani.Afya zenu ni muhimu mjuane kwani mnapokuwa mnakutana utakuwa na uhuru wa kufanya kile ambacho unapenda na kuomba kufanyiwa kile ambacho unakipenda kwa kuzingatia hali ya afya zenu.Mazoea yanawafanya mfanye yale mliozoea kufanyiana bila hiyana.
Ushauri wangu kwako dogo kama ni swala la kumnyonya mwenzio zingatia unachokipenda kama unaona kinyaa sidhani kama ni MAPENZI kufanya kile usichopenda ili tu kumridhisha mwenzio hayo si mapenzi bali UTUMWA. Mweleze kwa umakini jinsi usivyopenda na jinsi unavyohisi utajisikia kama utafanya hivyo naamin kama ni mwelewa atakuelewa. NDEGE WA AINA MOJA HURUKA PAMOJA yaelekea wewe njiwa kwenye kundi la kunguru tafuta kundi lako kabla hujapotezwa
 
kila demu niliyemnyonya ananitafuta wanajisikia raha, kuna demu wa mshikaji nilitaka kumnyonya akanisihi niache coz naweza nikamfanya apoteze hisia kwa mpenzie kwani anampenda

Daah! Kumbe w fataki unachukuwa mademu wawa2
 
Back
Top Bottom