Sunshow
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,140
- 391
umeonaee! Ni aibu kweli kujadili mambo haya na watu ambao hasa kwao wanavunja amri ya Mungu eti my girlfriend! What a shame! Nani alimwambia kuwa ana ruhusa ya kufanya tendo hilo kabla ya kuwa mume na mke? Apeleke ujinga wake huko.usimwambie mambo mengi bado mdogo.