mafiakisiwani
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 833
- 616
- Thread starter
- #81
mkuu ndege si anasa tena kusema huwezi kupanda kama ilipokuwa mwanzo. Subiri rais atujengee international airport kule mwanza na mbeya na sijui wapi kwengine uone kama hatujapanda wote
tumwombe Raisi wetu kwa M/mungu asimchukue kabla hajayafanikisha maisha mazuri kwa kila mtanzania ili nasi wote tufaidi.