Hivi inakuwaje hujawahi kupanda ndege?

Unajua kuna wengine baadhi ya mambo kwao ndo mafanikio makubwa kuliko kitu chochote...ni adventure zao na watu wa hivyo utakuta kweli kapanda labda mara 1 tu.
Potezea ni mjadala tu.
Ukiona manyoya kashaliwa huyo.
 
Nipande kwenda wapi?
Nimezaliwa Marangu,Kilimanjaro!
Vidudu,Primary nimesoma Marangu
,Secondary nikasoma hapa hapa Marangu,Chuo Marangu TTC,kazi nikapata hapa hapa Marangu!
Sasa nipande ndege kwenda wapi?
Huna sababu ya kupanda ndege,subiri kufa tu tena.
 
Kuna viashiria vya moja kwa moja ulipata bahati ya kumsindikiza nduguyo kupanda ndege, ss wenge linakupanda kila dakika! Ntakufanyia mpango ukakate kiu kwenye zile za kijeshi jipange tu kaka usijetoa machozi!
We endelea kuota kama sio kuchipua.
 
Why argue about why people dont fly when you know that your grandparents, uncles, unties and freinds die in the villages all over tanzania and dont have safe drinking water, electricity and so many niceties that you take for granted in the city.
A person starts to live when he can live outside himself.
We kweli kazi unayo,yaani tusijifurahishe kisa!! Hebu tupe wewe suluhisho ya hayo matatizo.
 
Labda ndege ulopanda ni AK47 ndo nzuri, mie nilijaribu kipisto, ilibidi wanishushe kabla hakijaondoka.

Kilikuwa kinatokea gongo la mboto via tandale to tegeta.
 
ha ha ha....sio chombo cha safari za kufurahia hicho...kikileta hitilafu roho inaacha mwili hata kabla hakijafika usawa wa ardhi..hongera mkuu kwa kukwea pipa...kupanda ndege mheshimiwa sio jambo la kujivunia...ningekuelewa endapo ungesema inakuwaje mtu unafikia umri fulani hujapanda mlima kilimanjaro? hivi ndicho kitu cha kujivunia..kwani wazungu wanatoka kwao wanapanda hizo ndege wanakuja kuukwea mlima....wewe umezaliwa hapa umakulia hapa...unaukwea mlima kwa macho...wenzako wanakuja kuukwea kwa miguu..kupanda ndege, meli, treni, hata basi inategemea na mazingira/uhalisia wa shughuli za mtu za kila siku....shughuli zako zote na matumizi yako yote unayapata kijijini au mjini hapo ulipo utapanda meli/basi/ndege/treni uende wapi!!
 
My 1st expirence ilikuwa Qatar mpaka doha toka doha businesses class Qatar hiyohiyo airbus triple 8 ... doha - newyork via pudong shanghai. :)
Qatar ndio ilinibikiri miaka Hiyo sitosahau .. Dar kwa juu chafu kinyama..
 
kupanda ndege si hoja. muhimu ni sababu zinazomfanya mtu apande ndege. kama ulienda Marekani unaweza kushangaa kwa nini mtu mwingine hajaenda huko?
 
My 1st expirence ilikuwa Qatar mpaka doha toka doha businesses class Qatar hiyohiyo airbus triple 8 ... doha - newyork via pudong shanghai. :)
Qatar ndio ilinibikiri miaka Hiyo sitosahau .. Dar kwa juu chafu kinyama..

Siku hizi Airbus wana Triple 8...duh! hiyo itakuwa made in NYUMBU..kaaaazi kweli kweli..
 
Back
Top Bottom