Jamani, mbona umezianzia safari lager mapema hivyo??! eniwe, furahiday njema!..mi nimepanda ungo, ndege naogopa
Kwetu tunatumia fisi
Ukiona miguu yangu ni kama kotama
Kwa ajili ya kujishikiza kwenye fisi asinidondoshe
Huwa wana speed
Afu maskio ndo mskano
Wewe kupandishwa ndege kupelekwa mirembe imekuwa nongwa.
OTIS
Kongosho mwambie huyu jamaa
sio ndege tuu na fisi na ungo ndo usafiri
Ndege nini bana
time wasting thread!
BJ usiaribi sifa maridhawa ya safari lager kwa ajili ya huyu popompo ambaye anafurahia kupanda ndege.
Kipofu kauona mwezi, basi hata akiambiwa tembo mkubwa anauliza 'kama mwezi?'
Ushamba hauna mwenyeji,kha!
where's like aisee nikugongee mkuu maana umesema ukweli mtupu...:lol:
Wewe lazima ni Mpemba
Tuambie wewe umepanda ndege mara ngapi maana nina wasiwasi usije ukawa unapanda ungo ukadhani ni ndege
ndege ya aeroplane,vp ushawahi kuikwea?
karibu tusker baridi mkuu baada ya kuongea point nzito...
safiiiiiiiiiiiii.Hii kwangu mimi daladala
ujue unanishangaza sana,unasema hutaki kuijadili hii post lakini una mchango karibu wa tatu katika thread hii,halafu uwe na tabia ya kujisemea nafsi yako,usipende kutumia neno WATU jizungumzie wewe mwenyewe,mbona watu kibao wamechangia au hao ni ng'ombe? swali liko wazi braza kaka,umeshawahi kupanda ndege?oaAsante sana mkuu
Yaani utoto full
Unakumbuka enzi unarudi home unamtambia mtoto mwenzako kuwa umepanda gari
Sasa ndo hii amepanda ndege kwa mara ya kwanza anakuja kushangaa watu hapa kuwa hawajawahi kupanda ndege
duh na anategemea watu wajadili na kumsupport
Mtu wa Mafia Kisiwani huyu, itakuwa alipanda Coastal au Tropical zinazoenda Mafia
Safari zake zote zinaendeka kwa gari na usafiri mngine. Usiendekeze sana mambo ya ndege, ni carbon footprint mbaya sana.
Tuombe Mungu siku moja tuwe tunaenda hata ulaya kwa TGV!
fanya fasta sana mkuu,we usijali disco wala nini unaweza kwenda kununua samaki wa kitoweo na kurudi ili mradi tu uweke historia kuwa umemkwea mwewe.Miakweli mkuu. mi mwenyewe hapa sijawahi panda ndege wala treni. hii thread imegusa maisha yangu. safi sana. hivi kweli inakuaje mtu unamaliza masomo ya secondary na chuo bila kupanda ndege? kuna ile kampuni ya ndege inapunguzaga bei kipindi cha valentine ngoja niwavizie. hivi zanzibar kuna kumbi za disco? nataka valentine nipande ndege niende zangu kucheza disco zenji, kesho yake nirudi tena na ndege ili hii thread yako ikose maana kwangu. Mia
Kwa hiyo unaturingishia au unatutishia..Haya basi umepanda,,, kwa hiyo!!??????