Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,175
Mie nakwea minazi na msuli tu
namaanisha aeroplane,vp ushawahi kukwea?
namaanisha aeroplane,vp ushawahi kukwea?
Kwetu mtu ukimwita mkwezi ni tusi unatakiwa umwite fundi.Mie nakwea minazi na msuli tu
Kweli umefaidi ndugu yangu.My 1st expirence ilikuwa Qatar mpaka doha toka doha businesses class Qatar hiyohiyo airbus triple 8 ... doha - newyork via pudong shanghai.
Qatar ndio ilinibikiri miaka Hiyo sitosahau .. Dar kwa juu chafu kinyama..
Wewe lazima ni Mpemba
Heri yako mpenda sifa za kijanja.Hahahaha........... aisee, atakuwa m......! wale wapenda sifa za kijinga.
Huyu ndio hajui kabisa kubahatisha we anaona Mafia halafu anasema Pemba!Wewe lazima utakuwa umerithi mikoba ya Sheikh Yahaya.
hahahaahahah Nasikiaga tu sauti huko angani lolz
Poor me. . . . Poor you.
Tutabaki kuzishangaa zikiwa zinapita angani.
We sangoma wa kizulu,ramli yako imebaunsi.Lazima huyu jamaa atakuwa ni mwanajeshi, amesindikiza maiti ya mjeda mwenzake kwa ndege basi akasahau hata uchungu wa msiba
Hizo lazima zitakuwa ndege za kina David Cameron!Waache wapande kwa raha zao! Usafiri wenyewe nasikia lazima ufunge mkanda vinginevyo nguo zinavuka, mambo gani hayo ya kuonyeshana pants na boxer safarini.
Wazungu si shwaini.ha ha ha....sio chombo cha safari za kufurahia hicho...kikileta hitilafu roho inaacha mwili hata kabla hakijafika usawa wa ardhi..hongera mkuu kwa kukwea pipa...kupanda ndege mheshimiwa sio jambo la kujivunia...ningekuelewa endapo ungesema inakuwaje mtu unafikia umri fulani hujapanda mlima kilimanjaro? hivi ndicho kitu cha kujivunia..kwani wazungu wanatoka kwao wanapanda hizo ndege wanakuja kuukwea mlima....wewe umezaliwa hapa umakulia hapa...unaukwea mlima kwa macho...wenzako wanakuja kuukwea kwa miguu..kupanda ndege, meli, treni, hata basi inategemea na mazingira/uhalisia wa shughuli za mtu za kila siku....shughuli zako zote na matumizi yako yote unayapata kijijini au mjini hapo ulipo utapanda meli/basi/ndege/treni uende wapi!!
Marekani siwapendi hata kuwasikia.kupanda ndege si hoja. muhimu ni sababu zinazomfanya mtu apande ndege. kama ulienda Marekani unaweza kushangaa kwa nini mtu mwingine hajaenda huko?
Jamaa gani?Sina mbavu..jamaa ana majibu balaaaa
Waache wapande kwa raha zao! Usafiri wenyewe nasikia lazima ufunge mkanda vinginevyo nguo zinavuka, mambo gani hayo ya kuonyeshana pants na boxer safarini.
Mamboz zenu waungwana,natumai hamjambo na mnajiandaa na mishemishe za mitoko ya Ijumaa.
Binafsi huwa najiuliza: Hivi ni kwanini mtu mpaka anakufa au anakuwa mkubwa wa miaka 69 lakini bado hajawahi kupanda ndege? :A S embarassed:
Hahahaha. . . .kwahiyo usipovaa unachunguliwa?
Watu tumepanda hadi guta!
Hahahaha. . . .kwahiyo usipovaa unachunguliwa?