- Thread starter
- #21
Nimekupenda Bure!!...........
mmmh! naogopa kusema.
Upendo usiokuwa na sababu hutoka moyoni wala usiogope!!
Nimekupenda Bure!!...........
mmmh! naogopa kusema.
Upendo usiokuwa na sababu hutoka moyoni wala usiogope!!
Wadau nchi yetu imeingia kwenye kitabu cha orodha ya maajabu baada ya wanafunzi wa Darasa la saba kufanya mtihani wa Hesabu wenye majibu ya kuchagua......a..b..c..d nakumbuka nilipokuwa nasoma mimi mtihani wa hesabu ukiandika jibu tu bila kuonyesha njia hupewi marks...sasa hii Tanzania yetu inaelekea wapi?? Nani wa Kulaumiwa????
sina hakika kama umefanya uchunguzi wa kutosha kuweza kugundua kuwa tanzania ni nchi pekee yenye kutumia mfumo wa kuchagua kwenye hesabu.... hebu fanya kuhusu mitihani ya kawaida kabisa kwa shule za kenya then uje upya
sina hakika kama umefanya uchunguzi wa kutosha kuweza kugundua kuwa tanzania ni nchi pekee yenye kutumia mfumo wa kuchagua kwenye hesabu.... hebu fanya kuhusu mitihani ya kawaida kabisa kwa shule za kenya then uje upya
wadau nchi yetu imeingia kwenye kitabu cha orodha ya maajabu baada ya wanafunzi wa darasa la saba kufanya mtihani wa hesabu wenye majibu ya kuchagua......a..b..c..d nakumbuka nilipokuwa nasoma mimi mtihani wa hesabu ukiandika jibu tu bila kuonyesha njia hupewi marks...sasa hii tanzania yetu inaelekea wapi?? Nani wa kulaumiwa????
Asubuhi ya leo nlikuwa naskiliza Radio One, nikamskia NW wa Elimu Mh. Mulugo akisema wanafunzi wamepewa na working sheets za kuonyesha calculations na zinakusanywa.
sina hakika kama umefanya uchunguzi wa kutosha kuweza kugundua kuwa tanzania ni nchi pekee yenye kutumia mfumo wa kuchagua kwenye hesabu.... hebu fanya kuhusu mitihani ya kawaida kabisa kwa shule za kenya then uje upya
binafsi mimi ni mmoja wa watu wanaopinga mfumo huo maana serikali kupitia baraza la mitihani nahisi wamekurupuka tu kuanzisha mfumo bila kuwashirikisha wadau wa somo la hesabu.. kimsingi mimi ninahisi wameamua kutumia mfumo kuongeza idadi ya wanfunzi wanaofaulu ili wajiunge na shule zao za kata walizozianzisha kwa kukurupuka pia. hapa ijulikane kuwa mfumo huu hauzingatii efficiency ama kiwango cha elimu bali kuongeza idadi ya wanafunzi wanaofaulu (nasema kuwa hiki ni kiini mamcho cha serikali kujisafisha kutokana na kushuka kwa kiwango cha ufaulu tanzania). hii itapelekea kupata kikazi cha watu wasiokuwa na uwezo kwa kufikiri maana katika masomo ynayomwezesha mtu kuwa na kiwango kikubwa cha kufikiri (nikosolewe kama siko sahihi)....