Wadau nchi yetu imeingia kwenye kitabu cha orodha ya maajabu baada ya wanafunzi wa Darasa la saba kufanya mtihani wa Hesabu wenye majibu ya kuchagua......a..b..c..d nakumbuka nilipokuwa nasoma mimi mtihani wa hesabu ukiandika jibu tu bila kuonyesha njia hupewi marks...sasa hii Tanzania yetu inaelekea wapi?? Nani wa Kulaumiwa????