Hili bango limenifanya niwaze sana, una maoni gani?

me i hate you with your low knowledge of understanding issues! This shows hw your thinking capacity is limited smwhere pliz try to open up urmind and see hw world is going on usiishie kukariri then ur concluding madrasa, me pia ni madrasa and am good enough compared with you! ZEZETA.

Haaa haaa, are you good enough? Tangu lini madrassa zikamfanya mtu mtu akawa "good enough?"
 
Kwanza nikiri kwamba ni ni mkrsto..ckuja hapa kueneza udin wala nguzo ya udini wanaotaka kuismamisha baadh ya mapepo machafu hapa.
Nafka wakat kuchukia even the day nlyopoteza muda kujiunga na forum hii. Ppo tok craps daily na kupoteza the real meann ov this place
why shud we always attach each other??why shudn't we fight through constructv n concret ideas? Who r u 2point ur fucn fnger 2ur fellow! Is t bcoz ur crctian o muslm! Is it bcoz ur educated n ur fellow z not?
Can we cal ourself great thnkers any mo? Lets stop ths homies
 
Mami,
Kwanza Tabora tunaandika kwa herufi kubwa maana ni jina la Mkoa. Unataka Mzenji akucheke? Na wewe Ngekewa, mji wangu angalia vizuri unavyoandikwa, Mpemba wee.......

Mami naona kumbe hufahamu vizuri kabila lako. Hakuna tofauti kati ya Mnyamwezi na Msukuma. Hizo ni tofauti za watu wasiolijua haswa kabila la Wanyamwezi. Mie leo nikija Mwanza, wazazi wako (naamini watakuwa wanaelewa) hawataniita Mnyamwezi ila wataniika MDAKAMA. Na wewe ukija kwetu, tutakuita Msukuma. Sasa kama mie ni Mdakama na wewe ni Msukuma, Mnyamwezi yuko wapi?

Ndiyo maana Watu wa Shinyanga huwa wanajiita wao ndiyo WANYAMWEZI haswaa maana wako wapo KATIKATI.

Sijui kama unafahamu maana ya SUKUMA na DAKAMA (ukimalizia na KIYA & MWELI). Hizo ni PANDE NNE za DUNIA yaani Kusini, Kaskazini. Nye ni WaKASKAZINI na sisi ni WaKUSINI. Hizo ni Pande tu Mwanawane na si KABILA.

Ukija kwenye Historia, Mirambo alichapachapa Makabila mengi kuzunguka Tabora na kila Kabila alilopigana nalo, hadi leo tuna utani nao. Utashangaa pamoja na kuziweka Shinyanga na Mwanza chini ya Utawala wake, hakuna utani kati ya Msukuma na Mdakama (Mnyamwezi). Hii ni kwa sababu, ni kabila moja.

Kuhusu tofauti ya Maneno, hiyo ipo sana tu. Hata Tabora kwenye miji kama Nzega, Usoke, Inyonga, Sikonge nk kuna vitofauti kwa mbaali na wote huwa tuna shida kumsikiliza mtu mmoja tu, NYANTUZU. Huyu bwana haijulikani kama kweli ni Msukuma. Ni kama Mjamaica mwenye Uraia wa UK na kuishi hapo UK.

Nina imani siku moja, tutakuja kuyaunganisha Makabila yote ya Tabora, Shinyanga na Mwanza na kuwa na neno moja tu WANYAMWEZI. Ila hata leo hii, kuhesabu watu, Wanyamwezi na Wasukuma wanawekwa kwenye Furushi moja na hapo kuwa na kabila kubwa kuliko yote Tanzania kwa asilimia karibu 15%. Shinyanga na Mwanza haziwezi kuleta hiyo idadi..........................

Sipo hapa kujifanya na mie ni MSUKUMA. I'm happy and Proud to be Mnyamwezi/Mdakama wa Sikonge na ndiyo maana hata ID yangu ya JF ni SIKONGE, yes MWANANGWA wa Sikonge aka MNYANGULU.

Hehehe Sikonge bwana umenimaliza, dekelekaga lulu nangho, mimi ni mnyantuzu kabisaaaaaaaaaaaaaaaa, bashosha ng'ombe aka Batambi, pande nne hizo nimo kaka kabisa nilimpa tu highlight mzee wa ami...one day tutakuwa pamoja tu ingawa mnatutenga sie wanyantuzu eti tunaongea SLANG ya kisukuma hahaha....nahene lulu nkwingwa...
 
Suala la msingi hapo hilo bango linatia aibu,lengo lao ujumbe ufike ulimwengu mzima...sasa na lugha hiyo c kutiana aibu? Acheni hizo bhana nendeni shule kwanza then ushabiki wenu baadae
 
waislam-tz.jpg

Ni kweli hii inafikirisha sana na kusema kweli inatia huruma sana. Ni aibu pia kwa taifa letu bila kujali walioandika ni wa dini gani.
 
Hahahaaa, Nyantusu huwa Mnaongea au Mna-RAP????

Halafu mna UTANI mbaya nyie watu?

Mnapenda sana kuonea mtu kama anasafiri kwenye BUS akiwa na dada yake au Mama Mkwe..........

Mnatumia sana SEX TABU ya Wa-Africa katika utani wenu.............

Kuna jamaa nasikia alikugundulika kwenye Bus anasafiri na Mama Mkwe...... Konda mmoja Nyatunzu akaenda nyuma ya Bus na mwengine akaenda mbele.......... Basi wakaanza kumpasha jamaa kuwa "alienda ukweni, akapiga mzigo siku nzima kujenga Zizi la ng'ombe na jioni akapigwa kiugali kidogo kishenzi.........Jamaa akala na kuanza kuimba wimbo kwa Miluzi huku akitembea around nyumbani... alipoona somo halieleweki, akabadili na kuanza kuimba kwa sauti bila maneno na mwisho akaona auwe kabisa na akaanza kwa maneno ya nguvu kabisa 'TWINJE MASANZU GISWE'.... watu ndani ya BUS hahahaaaaaaaa......... Jamaa akawa mwekundu kwa hasira.

Hiyo nilipasiwa na mshikaji wangu mmoja Nyantuzu wakati tukisoma Secondary........... Mwingine alitaniwa akiwa na baba yake wameenda kuuza Pamba. Iliishia kwa baba kuja juu na mtoto kutaka kupigana maana Walitaniwa wake zao ikiwa na maana Mke wa jamaa na Mama mkwe wake.... This one next time Mami. Noyaga.
Hehehe Sikonge bwana umenimaliza, dekelekaga lulu nangho, mimi ni mnyantuzu kabisaaaaaaaaaaaaaaaa, bashosha ng'ombe aka Batambi, pande nne hizo nimo kaka kabisa nilimpa tu highlight mzee wa ami...one day tutakuwa pamoja tu ingawa mnatutenga sie wanyantuzu eti tunaongea SLANG ya kisukuma hahaha....nahene lulu nkwingwa...
 
Hahahaaa, Nyantusu huwa Mnaongea au Mna-RAP????

Halafu mna UTANI mbaya nyie watu?

Mnapenda sana kuonea mtu kama anasafiri kwenye BUS akiwa na dada yake au Mama Mkwe..........

Mnatumia sana SEX TABU ya Wa-Africa katika utani wenu.............

Kuna jamaa nasikia alikugundulika kwenye Bus anasafiri na Mama Mkwe...... Konda mmoja Nyatunzu akaenda nyuma ya Bus na mwengine akaenda mbele.......... Basi wakaanza kumpasha jamaa kuwa "alienda ukweni, akapiga mzigo siku nzima kujenga Zizi la ng'ombe na jioni akapigwa kiugali kidogo kishenzi.........Jamaa akala na kuanza kuimba wimbo kwa Miluzi huku akitembea around nyumbani... alipoona somo halieleweki, akabadili na kuanza kuimba kwa sauti bila maneno na mwisho akaona auwe kabisa na akaanza kwa maneno ya nguvu kabisa 'TWINJE MASANZU GISWE'.... watu ndani ya BUS hahahaaaaaaaa......... Jamaa akawa mwekundu kwa hasira.

Hiyo nilipasiwa na mshikaji wangu mmoja Nyantuzu wakati tukisoma Secondary........... Mwingine alitaniwa akiwa na baba yake wameenda kuuza Pamba. Iliishia kwa baba kuja juu na mtoto kutaka kupigana maana Walitaniwa wake zao ikiwa na maana Mke wa jamaa na Mama mkwe wake.... This one next time Mami. Noyaga.

Nilimwambia huyu ami eti ananiambia mie PUMBAF kwetu tunameza na kusmile lkn nikimkamata atajuta kuniambia hivyo, tunalengaga UTOSINI, wewe pita tu leo hauna mkwe wako nakuacha siku nikikubambaga utajuta kunitania, sasa mie nakupa moja ngwana wane, dimaga matu lulu tuje si, SIKU moja jamaa alikuwa akimtania sana jamaa mwingine, sasa siku yake ikafika akiwa na msichana ambaye alikuwa anatarajia kumuoa, jamaa akamuonaaaaa akamuonyeshea msela wake ...kasheshe yule jamaa mwenye kumuoa demu akawa anapita na yule demu muolewa akawa anakuja in opposite site, jamaa wakaanza dah yule msichana anaekuja ana mashine bomba kinoma, muoaji kusikia vile akasita kusikiliza, jamaa wakaendelea halafu anashusha mzigo acha, anapeta utadhani hana kiuno, muoaji akazidi kujifanya hasikii, jamaa utadhani hawamuoni wala hawajui kama anategemea kumuoa yule demu, jamaa wakaendelea halafu jana ndo alinimaliza kabisaaaaaaa, dah msela kuona hivyo kataka ugomvi...hahahahahhahaha nitakupa ingine lusiku lungi nangho....huyo Ami muache tu achokoze nyuki kama anajua dawa yake..
 
kuna baadhi ya watu hawafai kuwa memba wa jamii forum kutokana na reply zao ha nthink critically at all hao waislamu kukosea kwenye hilo bango haimaanishi waislamu wote wapo nyuma kielimu tuache kukomit fallacy(hasty generalization) tujaribu kufikiri kwa makinii stupid

Hata bango hilo halifai kuandikwa kwa kithungu, wakasomeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee sio kukaririshwa kiarabuuuuuuuuuuuu
 
Mwenye tafsiri ya lugha hii atusaidie jamani; inaonekana kama kiingereza lakini sijui ni maneno ya li lbya au? Ivi kukimbia shule/umande aibu ehe???? Sasa si bora badala ya kuandamana muende mchikichini kwenye tuisheni ya sh.100 kwa saa ya kiingereza???????

Mkuu watu wanafundishwa kuchora badala ya kuandika utategemea nini? Eti Kuruani kumbe fine art tu....utasomaje kwa kurudi nyuma?hata siku zinaenda mbele wao nyuma tuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Originally Posted by Hemed Suya
me i hate you with your low knowledge of understanding issues! This shows hw your thinking capacity is limited smwhere pliz try to open up urmind and see hw world is going on usiishie kukariri then ur concluding madrasa, me pia ni madrasa and am good enough compared with you! ZEZETA


Welldone Brother. Nimependa hii.

he kumbe na wewe madrasatul? Kumbe na wewe ulijifunza Fine Art? duh sasa inabidi uende kusoma na kujifunza herufi za kuandika sio za kuchora...umependa alivyokosea au hiyo "Me I hate you".... kweli well done, halafu iko mwanzo wa sentesi...
 
Edit kwanza mistari yako na ujue maana ya neno PUMBAF, hili kwetu tunameza na kuendelea na safari ungesema mie **** hapo ningekuelewa lkn Pumbafu duh, low level ndugu yangu, sijasoma kama unavyofikiria, mie ni mkulima lkn chakuombea maji nakijua hata nikiambiwa kuandika bango kamwe haliwi na mistakes kama za madrasa...wewe ni ......sijui nikuweke katika kategoria gani...

Daraja ya kutokuwa mjinga kama wewe!
 
Mkuu edit maneno then mistari maana inakuwa kama mipasho, Tofauti kati ya Skuli na shule nilipo REDISHA inakuwaje au pia ni msamiati?
Nafikiri ipo haja ya wewe kusoma hayo ninayoandika kwani huo msamiati muendelevu ulikuwa na asili yake? Nikifikiri tuko kwenye mada uliyoianzisha badala yake naona ipo haja tuchepuke hapa twende kwenye jukwaa la lugha pengine huko unaweza ukawa bora kwani kwa mada tunayoizungumza naona umeishiwa hoja.
 
Kunilimisha kwenu huko pemba usidhani unanitesa au vipi ni mazoezi tu ya Viungo na bila kulima mie MSUKUMA sijisikii fresh so keep on doing it baby, kumenywa ndo nini? ndo ILIMU yenu inawasomesha hivyo? Unajuaje za wasukuma hazimenywi au IMEKUNYEA? toa ushuhuda ndugu, mwanajeshi hukaa gwandani ili ajulikane, siwezi chukua msichana kwenu maana hawana uzoefu wa mambo na mie msukuma napenda mechi za wazoefu sio maninja....
Ngugu yangu pole kwa kutoweza lolote zaidi ya hiyo mechi lakini usipojuwa lugha basi niulize au uliza watu ili upate kujibu hoja.
 
Umetaja Tabora ila mie natka The Rock City, the really Ngosha the don, bashosha ng'ombe, chapa jembe yenyewe sio ya kufodge, tabora ni wanyamwezi, vitu viwili tofauti kabisa lkn wote full energy kunako kilimo kwanza, Taarabu kumbe unaimbaga eeehhhh
Nipe mwaliko nije kutembea Mwanza na jisikie huru kuja kutembea Pemba.
 
Mami,
Kwanza Tabora tunaandika kwa herufi kubwa maana ni jina la Mkoa. Unataka Mzenji akucheke? Na wewe Ngekewa, mji wangu angalia vizuri unavyoandikwa, Mpemba wee.......

Mami naona kumbe hufahamu vizuri kabila lako. Hakuna tofauti kati ya Mnyamwezi na Msukuma. Hizo ni tofauti za watu wasiolijua haswa kabila la Wanyamwezi. Mie leo nikija Mwanza, wazazi wako (naamini watakuwa wanaelewa) hawataniita Mnyamwezi ila wataniika MDAKAMA. Na wewe ukija kwetu, tutakuita Msukuma. Sasa kama mie ni Mdakama na wewe ni Msukuma, Mnyamwezi yuko wapi?

Ndiyo maana Watu wa Shinyanga huwa wanajiita wao ndiyo WANYAMWEZI haswaa maana wako wapo KATIKATI.

Sijui kama unafahamu maana ya SUKUMA na DAKAMA (ukimalizia na KIYA & MWELI). Hizo ni PANDE NNE za DUNIA yaani Kusini, Kaskazini. Nye ni WaKASKAZINI na sisi ni WaKUSINI. Hizo ni Pande tu Mwanawane na si KABILA.

Ukija kwenye Historia, Mirambo alichapachapa Makabila mengi kuzunguka Tabora na kila Kabila alilopigana nalo, hadi leo tuna utani nao. Utashangaa pamoja na kuziweka Shinyanga na Mwanza chini ya Utawala wake, hakuna utani kati ya Msukuma na Mdakama (Mnyamwezi). Hii ni kwa sababu, ni kabila moja.

Kuhusu tofauti ya Maneno, hiyo ipo sana tu. Hata Tabora kwenye miji kama Nzega, Usoke, Inyonga, Sikonge nk kuna vitofauti kwa mbaali na wote huwa tuna shida kumsikiliza mtu mmoja tu, NYANTUZU. Huyu bwana haijulikani kama kweli ni Msukuma. Ni kama Mjamaica mwenye Uraia wa UK na kuishi hapo UK.

Nina imani siku moja, tutakuja kuyaunganisha Makabila yote ya Tabora, Shinyanga na Mwanza na kuwa na neno moja tu WANYAMWEZI. Ila hata leo hii, kuhesabu watu, Wanyamwezi na Wasukuma wanawekwa kwenye Furushi moja na hapo kuwa na kabila kubwa kuliko yote Tanzania kwa asilimia karibu 15%. Shinyanga na Mwanza haziwezi kuleta hiyo idadi..........................

Sipo hapa kujifanya na mie ni MSUKUMA. I'm happy and Proud to be Mnyamwezi/Mdakama wa Sikonge na ndiyo maana hata ID yangu ya JF ni SIKONGE, yes MWANANGWA wa Sikonge aka MNYANGULU.
Walahi sikutanii. Nilipoandika Tobora hilo ndilo jina walilokuwa wakitumia wanyamwezi (huku Pemba msukuma ni mnyamwezi na mnyamwezi ni hivyo tena) na sisi tlizoelea hivyo.
 
Back
Top Bottom