Una maoni gani kwa matokeo haya ya kidato cha pili Shule ya Diplomasia inayopatikana Dar?

aise

JF-Expert Member
May 16, 2018
4,117
11,845
Kwa matokeo haya una maoni gani?

Shule ipo Jijini Dar es Salam na siyo Nachingwea.

Screenshot_20240112_153154_Chrome.jpg
 
Daslam kusoma day ni changamoto sana maana naona watoto wanapata tabu sana katika usafiri,

Shuguli za utafutaji zinafanya wazazi wanashindwa kuwajibika vizuri katika kusimamia watoto wao....

Tatu waalimu wapo busy na mishe msihe ili waweze kuendana na hali halisi ya maisha dar es salam

wingi wa viburudisho na sehemu za starehe kuongeza vishawishi kwa wanafunzi

Etc....
 
Ukitaka kuchangamsha shule kama hiyo hakikisha inapata waalimu wa Hesabu na Physics wanaopenda kazi yao (dedicated) na wakutosha; Sio wale wa kuunga unga wanao waambia wanafunzi eti Hesabu/Physics ni ngumu. wakifanya hivyo, miaka mitatu ijayo inageuka na kuwa shule ya mfano
Kumbuka; watoto wakifaulu Hesabu na Physics hufaulu na masomo mengine; waalimu watanielewa
 
Hiyo shule Ina laana naijua tangu muda mrefu pale mwanafunzi kabla ya kufanya mtihani huwa anakuwa anasema yeye ni wa kufeli tu hana winning mentality
sio uongo mkuu ni ukweli mtupu hii shule hamna kitu 🤣🤣 kwanza wanafunzi wa kike wana tamaa sana na umalaya na wakiume wanapenda uhuni na usela mavi yaani duh
kingine wana changamoto ya usafiri mpka huruma ndo kinachangia sana wanafunzi kuwa wahuni wanakaa stendi mpka saa 3 usku kusubr gari
 
Ukitaka kuchangamsha shule kama hiyo hakikisha inapata waalimu wa Hesabu na Physics wanaopenda kazi yao (dedicated) na wakutosha; Sio wale wa kuunga unga wanao waambia wanafunzi eti Hesabu/Physics ni ngumu. wakifanya hivyo, miaka mitatu ijayo inakuwa shule ya mfano
Kumbuka; watoto wakifaulu Hesabu na Physics hufaulu na masomo mengine; waalimu watanielewa
✅✅✅👏👏👏🙏
 
Back
Top Bottom