Kaimbe taarabu wewe unafaa sana Bi Khadija kopa atakusign tu
Usidharau Taarabu kwani huko TOBORA ulikotoka tumeshaifikisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaimbe taarabu wewe unafaa sana Bi Khadija kopa atakusign tu
Ha ha haaa nimeamini kuwa wewe ndiye uliyeandika bango eti ulikuwa ukipost kingereza ha ha haa sasa kimeenda wapi au mwenye dictionary kaichukua usifurahishe walionuna kwa ugumu wa maisha.Nimekuwa nikiposti kwa lugha ya Kiingereza lakini hujawahi kunikosoa isipokuwa hiki kiherehere chako cha kujifanya unajuwa KKiswahili na hali ni Wakuja.
Mwalimu anafundisha au Anasomesha? kitendawili hiki tena? nenda tuition ya Kiswahili mtu wangu labda utajanjamka
Ha ha haaa nimeamini kuwa wewe ndiye uliyeandika bango eti ulikuwa ukipost kingereza ha ha haa sasa kimeenda wapi au mwenye dictionary kaichukua usifurahishe walionuna kwa ugumu wa maisha.
me i hate you with your low knowledge of understanding issues! This shows hw your thinking capacity is limited smwhere pliz try to open up urmind and see hw world is going on usiishie kukariri then ur concluding madrasa, me pia ni madrasa and am good enough compared with you! ZEZETA.
This is pathetic! Yaani siamini kwamba in a paragraph of almost 35 words, six of them are terribly broken.
however, sidhani kama tatizo ni uislam. I remember a few years back niliona bango la kualika waumini kwenda katika kongamano la Mama Lwakatare likisoma "we well come you to Mikocheni B Ass of God ...". I'm confidently sure the writer thought the best way to shorten the word 'Assemblies' is to write Ass in order to make words fit into the space provided. It was shamefully irritating!
me i hate you with your low knowledge of understanding issues! This shows hw your thinking capacity is limited smwhere pliz try to open up urmind and see hw world is going on usiishie kukariri then ur concluding madrasa, me pia ni madrasa and am good enough compared with you! ZEZETA.
We need to ask allah now, ha ha ha ha ha ha ha ha ha maana kama msaidizi wake wa nchini Tanzania ndio hivyo tena, the only one left is allah, Please allah, can you help us here?
kumbe kujua kingeleza kwa ufasaha ndio usomi..... Wabongo beana, kazi ya ukombozi bado kabisa haijaanza..... Tunataka mapinduzi wakati vichwa vyetu vimekariri mizoga ya imani za kikoloni.....
Mhhhhhhhhhh allah nae asije akawa madrassatul akashindwa kukujibu....
Kama wewe si Mpemba basi utakuwa maalim wa madrasa maana hao ndio wanasema kusomesha badala ya kufundisha wanasema skuli badala ya shule au utakuwa umesaidia kuandika bango.
Ama kweli waislam wa tanzania ni jamii iliyonyuma sana ktk elimu!jitihada za makusudi zahitajika kuinusuru jamii hii!misamaha ya kodi kwa madhehebu ya dini haiwanufaishi chochote kwani huenda hakuna taasisi ya kiislam iliyojenga shule wala hospitali kwa msamaha wa kodi!TAFAKARI
Pumbaf! taratbu unajivua nguo!
Unajuwa mtu anaekuwa na asili ya ushenzi huona kitu kikubwa sana kupata kitu angalau kimoja kitachomfanya aonekane si mshenzi. Pengine hili linaapply kwako. umepata tabu kubwa kutoka kwenye watu unaowadharau ( kwani kwako kujuwa kingereza ndio kuondosha ujinga) hivyo unaona ukae jukwaani kujitafautisha na hao walioandika hlio Bango!
Wanaoandamana ni Waislamu na wao wana uhuru wa kuamuwa kipi cha kukipinga. Naona wewe huna elimu kama unavyojidai lakini ungefahamu jina la Libya pengine ungejuwa kwanini walisema Waislamu wa Libya. Ulikuwa ukituhangaisha kumbe upumba tupu hujwi kitu wala ukisikia basi huwezi kutafakari. Rudi kasome tena halafu ndio uje na hoja za maana. Wewe Pumba kwani hao Waislamu walikusudia kuleta hilo Bango hapa hata useme wao ndio wanaoleta udini humu. Tatizo lako kuwa elimu uliyonayo haijawa na manufaa kwako kwani angalau ingeondowa chuki akilini mwako.
Kama wewe si Mpemba basi utakuwa maalim wa madrasa maana hao ndio wanasema kusomesha badala ya kufundisha wanasema skuli badala ya shule au utakuwa umesaidia kuandika bango.
Ha mwadila! Naona bora uache kuandika kwani hata hao wasomi wenzio watajitenga nawe. Huna hoja hata moja ya maana. Lamaana hapa ni kuwa Bango limekosewa kuandikwa basi na sio kuwa Waislamu hawana elimu kwani machokoraa si Waislamu peke yao na naogopa kufanya chokoraa wa kikiristo kuwa sawa na Wakristo wote.
Naona umekosea. Mimi si Mpembna bali ni Muunguja, bali upuuzi wenu kutokujua Zanzibar hata ingawa ipo maili chache tu. Pia mimi si mwalimu wa madrasa bali naam nilishapitia madrasa lakini huku kwetu madrasa huwa tunasoma baadaya saa za skuli. Na kuhusu lugha yangu jee umeipenda? Hicho ndicho Kiswahili na nafikiri wewe umetoka mikoani kwani tayari wazaliwa wa mjini wanatumia kiswahili sahihi cha skuli badala ya shule hasa walipoelewa kuhusu Kijerumani na Kiingereza basi Kiingereza kilikuja baadae na kufuta lugha ya Kijerumani.
Ama hili la kusaidia kuandika bango inwezekana lakini naona tatizo lako kwangu ni lugha ya Kiswahili kwa vile wewe ni wakuja. Nimekuwa nikiposti kwa lugha ya Kiingereza lakini hujawahi kunikosoa isipokuwa hiki kiherehere chako cha kujifanya unajuwa KKiswahili na hali ni Wakuja.
Hongera nduguyangu kwa kuwa kidume chambegu na namsikitikia huyo dada yangu alikuwa na kazi ya kutowa unga kwanza kabla ya kupata hicho anachotaka kwani kwa ulivyo nafikiri haijamenywa!
Huku unakokuita Pemba usingepata msichana wa Kiislamu kwani nyie kwetu ndio wakulima wa mashambani.