Mmh mbona kila siku ni post za matatizo ya ndoa 2?sijawahi ona uzi uloletwa kuonyesha mema na raha ya ndoa,hv ndoa ni matatizo tu?mbona mwatutisha tulio single?
Yakiletwa mema hapa mtandao utaelemwa. Na mara nyingi habari mbaya zinauzika zaidi kuliko mbaya.