Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada pole kwa hili, ni mfumo dume ambao baadhi yetu bado wanao, lkn wapo baadhi wanaume bora ambao, wana appriciate kazi ngumu ya mama, na pia wanao amini kuwa LOVE IS DEMOCRASY hata kama ni mkeo ni vema ukampa amani na furaha ya nyumba yake na sikumfokea kila wakati, kwani baadhi ya wake, hawakulelewa kugombezwa makwao waliko zaliwa,
Naomba msamaha kwa niaba ya wote ambao hawafanyi sawa katika nyumba zao, tutajirekebisha na kuwa wababa wazuri sana.
hABARI ZA ASUBUHI
mm ninaswali kwa wanaume ambao mlituona tunafaa kuwa wake zenu na kuwa mama wa watoto wenu.
Ninalala wa mwisho kuangalia kama kila kitu kiko sawa na kuhakikisha kama milango imefungwa na sitting room , jikoni na sehemu zingine ziko safi.
Naandaa nguo za mume wangu pamoja na za watoto , dada anabrash viatu vyawatoto.
naamka saa 11.30 nakuandalia breakfast, naenda kuoga wewe umelala, by the time unaamka unakuta kila kitu kiko tayari, naweka hali ya chumba chetu safi,unaamka unaoga na kwenda kunywa chai wewe na wanao, halafu unakwenda kwenye gari unanipigia honi na kuniuliza ulikuwa wapi saa zote? IVI HII NI HAKI! HAMJALI YOOOOTE TUNATOWAFANYIA, AU HIYO NDIYO ASANTE YENU?
Hayo unajitumaga mwenyewe au ana ku command i.e kama vile kuchek milango n.khABARI ZA ASUBUHI
mm ninaswali kwa wanaume ambao mlituona tunafaa kuwa wake zenu na kuwa mama wa watoto wenu.
Ninalala wa mwisho kuangalia kama kila kitu kiko sawa na kuhakikisha kama milango imefungwa na sitting room , jikoni na sehemu zingine ziko safi.
Naandaa nguo za mume wangu pamoja na za watoto , dada anabrash viatu vyawatoto.
naamka saa 11.30 nakuandalia breakfast, naenda kuoga wewe umelala, by the time unaamka unakuta kila kitu kiko tayari, naweka hali ya chumba chetu safi,unaamka unaoga na kwenda kunywa chai wewe na wanao, halafu unakwenda kwenye gari unanipigia honi na kuniuliza ulikuwa wapi saa zote? IVI HII NI HAKI! HAMJALI YOOOOTE TUNATOWAFANYIA, AU HIYO NDIYO ASANTE YENU?
Mmh mbona kila siku ni post za matatizo ya ndoa 2?sijawahi ona uzi uloletwa kuonyesha mema na raha ya ndoa,hv ndoa ni matatizo tu?mbona mwatutisha tulio single?
bhikola umetumia nguvu nyingi sana duh!
Ila nami niko consious sana na time, n l hate waiting.
Bidada atafute means nyingine ya kwenda kazini kama hawezi jiadjust kiratiba.
Dah! yaani kwa maelezo hayo tu unatoa hukumu!....:clap2:Atakua ana Matatizo Mmeo ama ana kasoro namaanisha kiakili.ama pengine ana ugojwa wa kusahau nashindwa nimuelelezeje :hail:
Hii Kauli sio Nzuri, Mark my words, ukiendelea nayo utatafutiwa Nyumba Ndogo Fastakwenda kunywa chai wewe na wanao
weye Kaunga weye? Basi amka and help with some chores.
mimi huwa nalisema hili kila siku lakini maisha mdogo wangu Ciello maisha yanafanya watu wawe hivi,Mmh mbona kila siku ni post za matatizo ya ndoa 2?sijawahi ona uzi uloletwa kuonyesha mema na raha ya ndoa,hv ndoa ni matatizo tu?mbona mwatutisha tulio single?
isee kwa mwendo huu!mkeo mbona ana kazi!acheni zengwe lenu nyie, hamtofautiani na wale wanaolalamikia mfumo kristu kila kukicha! sasa we umekuja na mfumo dume, na mtoto anakuja na mfumo viboko, na baba anakuja na mfumo chu.pi!! ha ha kaaazi kwelikweli
unataka kuhoji mpaka majukumu yako, mbona hulalamiki unapopata mlo wa kila cku, najipinda mwenyewe kutafuta mkate wa familia, unakula mpaka unalala unajamba kama mke wa yule mshkaji wetu, watoto wanakwenda shule, we mwenyewe unavipodozi kama duka la urembo, mshahara wako cjawahi kuulizia, yet u re complaining. fine, acha niwe naingiza vyombo, niingie na jikoni, nioshe na watoto then wewe take care of the family needs
hatuendelei kwasababu tunatafuta majibu ya matatizo yetu kwa wenzetu, yaani siku zote tunaona wenzetu ndiyo tatizo so tunaishia kulaumu pasipo kujitafiti ndani. ni wajibu wako kuhakikisha nyumba inakuwa katika muafaka, na niwajibu wake kuweka kila kitu sawa
play your part, i do mine, life becomes sweet
Solution to a good marriage is two tvs and three cars.
Kumbe weye bado ako single eh?Mmh mbona kila siku ni post za matatizo ya ndoa 2?sijawahi ona uzi uloletwa kuonyesha mema na raha ya ndoa,hv ndoa ni matatizo tu?mbona mwatutisha tulio single?
hapa unaogopa wanaweza wakatoroka usiku au wezi wasiingie
Solution to a good marriage is two tvs and three cars.
habari za asubuhi
mm ninaswali kwa wanaume ambao mlituona tunafaa kuwa wake zenu na kuwa mama wa watoto wenu.
Ninalala wa mwisho kuangalia kama kila kitu kiko sawa na kuhakikisha kama milango imefungwa na sitting room , jikoni na sehemu zingine ziko safi.
Naandaa nguo za mume wangu pamoja na za watoto , dada anabrash viatu vyawatoto.
Naamka saa 11.30 nakuandalia breakfast, naenda kuoga wewe umelala, by the time unaamka unakuta kila kitu kiko tayari, naweka hali ya chumba chetu safi,unaamka unaoga na kwenda kunywa chai wewe na wanao, halafu unakwenda kwenye gari unanipigia honi na kuniuliza ulikuwa wapi saa zote? Ivi hii ni haki! Hamjali yoooote tunatowafanyia, au hiyo ndiyo asante yenu?
bhikola umetumia nguvu nyingi sana duh!
Ila nami niko consious sana na time, n l hate waiting.
Bidada atafute means nyingine ya kwenda kazini kama hawezi jiadjust kiratiba.
hABARI ZA ASUBUHI
mm ninaswali kwa wanaume ambao mlituona tunafaa kuwa wake zenu na kuwa mama wa watoto wenu.
Ninalala wa mwisho kuangalia kama kila kitu kiko sawa na kuhakikisha kama milango imefungwa na sitting room , jikoni na sehemu zingine ziko safi.
Naandaa nguo za mume wangu pamoja na za watoto , dada anabrash viatu vyawatoto.
naamka saa 11.30 nakuandalia breakfast, naenda kuoga wewe umelala, by the time unaamka unakuta kila kitu kiko tayari, naweka hali ya chumba chetu safi,unaamka unaoga na kwenda kunywa chai wewe na wanao, halafu unakwenda kwenye gari unanipigia honi na kuniuliza ulikuwa wapi saa zote? IVI HII NI HAKI! HAMJALI YOOOOTE TUNATOWAFANYIA, AU HIYO NDIYO ASANTE YENU?