HESLB na serikali wafikirieni watoto wa Mwaka wa kwanza Vyuo Vikuu

ryaniza

Member
May 4, 2021
9
12
Asilimia kubwa ya wanafunzi wa mwaka wa kwanza vyuo vikuu ambao ni wanufaika wa mikopo ya serikali.

Yaani wanategemea mikopo ya serikali wanapita kwenye wakati mgumu wakipewa ahadi za kuingiziwa hela bila mafanikio yoyote, HESLB pamoja na serikali iliangalie hiki suala natumaini wao pia ni watu wazima na wamesoma wanaelewa mwanafunzi ambae wazazi wake wana kipato cha Hali ya chini

Ametoka nyumbani kwao wazazi wanafahamu mkopo wa serikali utakidhi nahitaji yake lakni serikali inaonekana kama haina taarifa na mateso wanayopitia Hawa watoto wengine ni watoto wa kike jamani.

Isije ikapelekea wakaingia kwenye vishawishi kwasababu ya hali ngumu ya kifedha.
 
Asilimia kubwa ya wanafunzi wa mwaka wa kwanza vyuo vikuu ambao ni wanufaika wa mikopo ya serikali ....Yani wanategemea mikopo ya serikali wanapita kwenye wakati mgumu wakipewa ahadi za kuingiziwa ela bila mafanikio yoyote HESLB pamoja na serikali iliangalie hiki suala natumaini wao pia ni watu wazima na wamesoma wanaelewa mwanafunz ambae wazaz wake wana kipato cha Hali ya chini ametoka nyumbani kwao wazaz wanafaham mkopo wa serikali utakidhi nahitaji yake lakn serikali inaonekana kama Haina taarifa na mateso wanayopitia Hawa watoto wengine ni watoto wa kike jamani ......isije ikapelekea wakaingia kwenye vishawishi kwasbb ya Hali ngumu ya kifedha.
Kuingia katika umalaya kisa pesa uo ni upuuzi

Jambo la msingi unabidi utaje chuo chako ulichopo ili helsb wawaletee pesa za kujikimu ,
 
Mkuu ingependeza useme ni chuo gani hiko mana suala la kuchelewa kwa boom sio shida ya HESLB wala serikali pesa zimeshatumwa vyuoni kitambo kabla hata ya semester2 kuanza ishu hapo ni logistics mbovu ya baadhi ya vYuo sema chuo gani hicho tumkabe loan officer wake acheue mzigo huo waache kuuweka fix account
 
Serikali iwe makini kuwawahishia hawa vijana boom zao ili kupunguza changamoto hasa kwa mabinti.
 
Vyuo kama Ardhi na SUA Bado watoto wa first yr wanahangaika wanapigwa tu kalenda na ma loan officer na inasemekana pesa za wanafunzi zimeshatumwa kutoka HESLB kwenda vyuoni watoto wale Nini watazingatiaje kwenye masomo HIZO PESA ZILIZOLETWA VYUONI NA HESLB ZIKO WAPI??
 
Pesa zilishaletwa mkuu watu wamefatilia mpaka heslb wakasema jambo lipo nje ya uwezo wao ni kudeal na uongozi wa Chuo vyuo Ardhi na SUA loan officers tunaomba majibu
Kuingia katika umalaya kisa pesa uo ni upuuzi

Jambo la msingi unabidi utaje chuo chako ulichopo ili helsb wawaletee pesa za kujikimu ,
 
La awamu ya tatu bado chuo cha kampala
Ni kweli wanafunzi wa chuo ha kampala bado hawajapata pesa wale ambao hawapo kwenye mfumo wa FingerPrint.
Ngoja tulifuatilie hili swala kwa haraka zaidi hawa ma loan officer wa vyuoni ndo wasumbufu sana wanashindwa kutimiza wajibu wao haraka kwa kutuma Pay sheet Bank husika.
 
Back
Top Bottom