HESLB imewanyima ada wanafunzi wa mwaka wa kwanza kada za afya wanaosoma "Private Universities"

Kingsmann

JF-Expert Member
Oct 4, 2018
4,448
16,313
Ni jambo la kushangaza kidogo lakini hali halisi ndiyo iko hivyo. Wanafunzi wanaosoma vyuo binafsi kada za afya wamenyimwa "Ada" huku wale wanaosoma kada zingine mfano ualimu wakipewa japo kitu kidogo.

Ndiyo mmewapa pesa ya kujikimu lakini kama mwanafunzi hawezi kujilipia ada yafaa nini?

Mtoto wa masikini amejifahidi kasoma science akiamini huko mbele anaweza kufika tamati kwa kupata mkopo kutoka HESLB kwani wazazi hawana uwezo. Ila mwisho wa siku anaishia kupata pesa ya kujikimu pekee huku akiachiwa zigonla ada la milioni 3 ambalo kamwe ni ndoto kulilipa hata wakichangishana ukoo mzima.

Nina mfano hai wa chuo kimoja kinachotoa Nursing na Pharmacy, awamu ya kwanza walipewa pesa ya kujikimu tuu. Dirisha la appeal lilipofunguliwa wameappeal ila hakuna hata mmoja aliyepewa ada. Hakuna hata mmoja.

Kada za afya huwa ni priority, ni nini kimetokea mwaka huu mpaka muwanyime hawa watoto ada?
 
Ni jambo la kushangaza kidogo lakini hali halisi ndiyo iko hivyo. Wanafunzi wanaosoma vyuo binafsi kada za afya wamenyimwa "Ada" huku wale wanaosoma kada zingine mfano ualimu wakipewa japo kitu kidogo.

Ndiyo mmewapa pesa ya kujikimu lakini kama mwanafunzi hawezi kujilipia ada yafaa nini?

Mtoto wa masikini amejifahidi kasoma science akiamini huko mbele anaweza kufika tamati kwa kupata mkopo kutoka HESLB kwani wazazi hawana uwezo. Ila mwisho wa siku anaishia kupata pesa ya kujikimu pekee huku akiachiwa zigonla ada la milioni 3 ambalo kamwe ni ndoto kulilipa hata wakichangishana ukoo mzima.

Nina mfano hai wa chuo kimoja kinachotoa Nursing na Pharmacy, awamu ya kwanza walipewa pesa ya kujikimu tuu. Dirisha la appeal lilipofunguliwa wameappeal ila hakuna hata mmoja aliyepewa ada. Hakuna hata mmoja.

Kada za afya huwa ni priority, ni nini kimetokea mwaka huu mpaka muwanyime hawa watoto ada?
Watanzania tujifunze kujitegemea katika kusomesha watoto wetu hi serikali sio ya kutegemea kabisa, mtoto anasoma medicine ada ni 7.5m ila serikali imempa 2.4 za meals kweli huyu ataweza kumaliza miaka mitano ya kozi kwa uchumi wetu.......wazazi tujupime uwezo wetu kabla ya kupekeka watoto wetu kusoma advance level na vyuo.
 
Ni jambo la kushangaza kidogo lakini hali halisi ndiyo iko hivyo. Wanafunzi wanaosoma vyuo binafsi kada za afya wamenyimwa "Ada" huku wale wanaosoma kada zingine mfano ualimu wakipewa japo kitu kidogo.

Ndiyo mmewapa pesa ya kujikimu lakini kama mwanafunzi hawezi kujilipia ada yafaa nini?

Mtoto wa masikini amejifahidi kasoma science akiamini huko mbele anaweza kufika tamati kwa kupata mkopo kutoka HESLB kwani wazazi hawana uwezo. Ila mwisho wa siku anaishia kupata pesa ya kujikimu pekee huku akiachiwa zigonla ada la milioni 3 ambalo kamwe ni ndoto kulilipa hata wakichangishana ukoo mzima.

Nina mfano hai wa chuo kimoja kinachotoa Nursing na Pharmacy, awamu ya kwanza walipewa pesa ya kujikimu tuu. Dirisha la appeal lilipofunguliwa wameappeal ila hakuna hata mmoja aliyepewa ada. Hakuna hata mmoja.

Kada za afya huwa ni priority, ni nini kimetokea mwaka huu mpaka muwanyime hawa watoto ada?
Ishu nyingine ni kuhusu vyuo/admission capacity kuwa ndogo kwenye vyuo vya serikali....wa diploma nafasi zile zile toka miaka iyo na nafasi za waliotoka form six ni zile zile wakati sasa hivi watu wanaomaliza diploma na six ni wengi mno ko inapelekea wengi kwenda private kwenye ada kubwa.
Ushauri wangu wangeongeza admission capacity ya vyuo vya serikali kwa wa diploma na wa form six au wajenge vyuo vingine au branch ili kupunguza iyo ishu
 
Mwaka huu watoto wamefaulu sana, Division one zipo nyingi sana. Ufaulu huu umeathiri hata admission za vyuo. Wapo waliopata vyuo lakini kozi hazieleweki kabisa.
 
Watanzania tujifunze kujitegemea katika kusomesha watoto wetu hi serikali sio ya kutegemea kabisa, mtoto anasoma medicine ada ni 7.5m ila serikali imempa 2.4 za meals kweli huyu ataweza kumaliza miaka mitano ya kozi kwa uchumi wetu.......wazazi tujupime uwezo wetu kabla ya kupekeka watoto wetu kusoma advance level na vyuo.
Unaongea emotions,Russia and usa wanasponsa elimu mkuu. Yaaani ukisha qualify kijana wako kufaulu kwenda chuoni Basi analipiwa kila kitu. Pia uelewe Ni wajibu Taifa letu liwe na watalaamu. So hapo ulipo kinachoongea sio wewe Bali Ni kipato chako. Icho ulicho kikipotea utabadilisha lugha. Yaani watu kupata vihela kidogo wanasahau maisha upande wa pili. Ukiwa ndani ya private car yako hata 100M tzs haifiki unawaona na kuwadharau wapanda daladala kuwa inakuwaje wasimiliki gari Kama mie.
We're and you're always overwhelmed by your emotions hata ukatae.
Hebu Sachi uone hata nchi tajiri elimu na matibabu Kuna namna wanasaidia raia wake. Mwishowe utataka ama kushauri kuwa kila mtu ajitengenezee barabara na hospital yake. Unajua lengo la serikali la kukusanya Kodi kutoka kwa wananchi lakini ama umekaa hapo unakula bia na kuku na maku pembeni unawaona wenzako as if they aren't supposed to be on the Earth's surface. Hivi huwa hamuelewi kuwa mnapoitwa nchi masikini Mana yake Ni nini
 
Unaongea emotions,Russia and usa wanasponsa elimu mkuu. Yaaani ukisha qualify kijana wako kufaulu kwenda chuoni Basi analipiwa kila kitu. Pia uelewe Ni wajibu Taifa letu liwe na watalaamu. So hapo ulipo kinachoongea sio wewe Bali Ni kipato chako. Icho ulicho kikipotea utabadilisha lugha. Yaani watu kupata vihela kidogo wanasahau maisha upande wa pili. Ukiwa ndani ya private car yako hata 100M tzs haifiki unawaona na kuwadharau wapanda daladala kuwa inakuwaje wasimiliki gari Kama mie.
We're and you're always overwhelmed by your emotions hata ukatae.
Hebu Sachi uone hata nchi tajiri elimu na matibabu Kuna namna wanasaidia raia wake. Mwishowe utataka ama kushauri kuwa kila mtu ajitengenezee barabara na hospital yake. Unajua lengo la serikali la kukusanya Kodi kutoka kwa wananchi lakini ama umekaa hapo unakula bia na kuku na maku pembeni unawaona wenzako as if they aren't supposed to be on the Earth's surface. Hivi huwa hamuelewi kuwa mnapoitwa nchi masikini Mana yake Ni nini
Mkuu hujanielewa au ni hasira au stress zako sijui, usilinganishe serikali za Russia Germany, na nchi yetu ambayo imeshindwa hata kutoa quality primary education, Afya nk,.......kwahiyo wazazi wenye malengo lazoma ujipange ukitegemea serikali tu utaumia bure.
 
Mkuu hujanielewa au ni hasira au stress zako sijui, usilinganishe serikali za Russia Germany, na nchi yetu ambayo imeshindwa hata kutoa quality primary education, Afya nk,.......kwahiyo wazazi wenye malengo lazoma ujipange ukitegemea serikali tu utaumia bure.
Your mind your perception your world. We aren't objective but we're subjective. Ivi unadhani ambao hawana uwezo wa kusomesha kuwa hhawakujipanga. Listen don't think status or possessions of you and others depend with hardworking,your intellect, blessings,luck, strategy,chance,. Listen universe or nature is always in control and its course.
Hakuna anayependa kuitegemea serikali uelewe ivyo kila mmoja anapenda kuwa financially freedom and wealthy.
Have your mind and don't let your mind have you.
Ego is lying at you,since you think you're the natural cause of your own life. Faki up the ego. The EGO is the enemy for us.
 
Your mind your perception your world. We aren't objective but we're subjective. Ivi unadhani ambao hawana uwezo wa kusomesha kuwa hhawakujipanga. Listen don't think status or possessions of you and others depend with hardworking,your intellect, blessings,luck, strategy,chance,. Listen universe or nature is always in control and its course.
Hakuna anayependa kuitegemea serikali uelewe ivyo kila mmoja anapenda kuwa financially freedom and wealthy.
Have your mind and don't let your mind have you.
Ego is lying at you,since you think you're the natural cause of your own life. Faki up the ego. The EGO is the enemy for us.
Mkuu uko off topic, tulia usome uzi acha jaziba wote tuko on same boat calm down dude.
 
Back
Top Bottom