HESLB hizo bilioni 780+ mlizoidhinishiwa na serikali kwa mwaka 2023/2024 mmewapa wanafunzi gani?

Mkwawe

JF-Expert Member
Jun 10, 2016
2,345
4,168
Hadi sasa wanajamvi sielewi kama zile taarifa za kuwa mwaka huu zaidi ya wanafunzi 220000 wanatajwa kunufaika na mkopo wa masomo kutoka heslb kuwa ni kweli, kwa sababu kila siku hapa kitaa madogo walioenda chuo kwa bashasha lote wanarudi kitaani na sura zilizokosa tumaini kabisa, yaani ni huruma na inasikitisha sana.

Hebu fikiria yaani kwa sababu tu mtu eti mtu ana wazazi wawili (ambao pengine hawana background ya kuajiriwa) hapewi mkopo kabisa au anapewa mkopo sawa na wa vicoba. Yaani mtu ameapply kusomea udaktari ambao ada take ni 1.8m halafu unampa laki mbili kweli? Mtu ameapply kusomea uhandisi ambao ada yake ni 1.5m halafu unampa laki mbili? Jamani serikali yetu pamoja na taasisi husika kuweni na utu jamani watu wanasoma kwa shida, watu wanatumia gharama kubwa sana kusomesha wengine hudunduliza hadi akiba zao za mwisho kuwasomesha watoto wao wakijua baadaye serikali itawatua mzigo lakini hiki mnachofanya ni nini?

Mwaka huu ninaamini 40% ya wanafunzi walioomba mkopo na kutaka kuanza masomo ya chuo Kikuu hawataanza maana serikali imewatupa mkono, imebaki tu kuiaminisha jamii na takwimu zao bandia za bilioni 700 na wanafunzi laki mbili.

Huu ni unyama wa kihinsia, tunajua mwenye shibe hamkumbuki mwenye njaa ila basi tumieni hata ile njaa mnayoipata asubuhi kujua kuwa Kuna watu hawali siku nzima. Yaani kwa kifupi asilimia kubwa wanafunzi walioomba mkopo wamepewa asilimia 16%, Kuna watu ada ya shilingi elfu 70 kwa mwaka walipokuwa sekondari ilikuwa inawashinda sembuse milioni 1.8? Kweli jamani!!??

Hebu bodi ya mikopo na wizara husika kaeni muangalie ni jinsi gani mtawasaidia hawa wadogo zetu, madogo wamejaa na msongo sana huku mtaani, wazazi wao ndo hawa hawa mnaowavunjia vibanda kuweni na utu jamani, dunia ni mapito hii

Poleni sana wadogo zangu hii ndo serikali inayoubutua mwingi hadi nje ya uwanja
 
Hadi sasa wanajamvi sielewi kama zile taarifa za kuwa mwaka huu zaidi ya wanafunzi 220000 wanatajwa kunufaika na mkopo wa masomo kutoka heslb kuwa ni kweli, kwa sababu kila siku hapa kitaa madogo walioenda chuo kwa bashasha lote wanarudi kitaani na sura zilizokosa tumaini kabisa, yaani ni huruma na inasikitisha sana.

Hebu fikiria yaani kwa sababu tu mtu eti mtu ana wazazi wawili (ambao pengine hawana background ya kuajiriwa) hapewi mkopo kabisa au anapewa mkopo sawa na wa vicoba. Yaani mtu ameapply kusomea udaktari ambao ada take ni 1.8m halafu unampa laki mbili kweli? Mtu ameapply kusomea uhandisi ambao ada yake ni 1.5m halafu unampa laki mbili? Jamani serikali yetu pamoja na taasisi husika kuweni na utu jamani watu wanasoma kwa shida, watu wanatumia gharama kubwa sana kusomesha wengine hudunduliza hadi akiba zao za mwisho kuwasomesha watoto wao wakijua baadaye serikali itawatua mzigo lakini hiki mnachofanya ni nini?

Mwaka huu ninaamini 40% ya wanafunzi walioomba mkopo na kutaka kuanza masomo ya chuo Kikuu hawataanza maana serikali imewatupa mkono, imebaki tu kuiaminisha jamii na takwimu zao bandia za bilioni 700 na wanafunzi laki mbili.

Huu ni unyama wa kihinsia, tunajua mwenye shibe hamkumbuki mwenye njaa ila basi tumieni hata ile njaa mnayoipata asubuhi kujua kuwa Kuna watu hawali siku nzima. Yaani kwa kifupi asilimia kubwa wanafunzi walioomba mkopo wamepewa asilimia 16%, Kuna watu ada ya shilingi elfu 70 kwa mwaka walipokuwa sekondari ilikuwa inawashinda sembuse milioni 1.8? Kweli jamani!!??

Hebu bodi ya mikopo na wizara husika kaeni muangalie ni jinsi gani mtawasaidia hawa wadogo zetu, madogo wamejaa na msongo sana huku mtaani, wazazi wao ndo hawa hawa mnaowavunjia vibanda kuweni na utu jamani, dunia ni mapito hii

Poleni sana wadogo zangu hii ndo serikali inayoubutua mwingi hadi nje ya uwanja
Unachosema ni kweli Mimi ni mzaz mwanangu kakosa mkopo inanighalimu sana hata sielewi kabisa!!
 
Unachosema ni kweli Mimi ni mzaz mwanangu kakosa mkopo inanighalimu sana hata sielewi kabisa!!
Alisoma chini shule gani? Kuna huu uwekezaji mkubwa tunaofanya wazazi shule za binafsi na aghali sana. Yani baby class to class 7 unalipa millions of money per year, tunaingia secondary level tunalipa millions nyingine za kutosha tunaamini kuwa wakifika Chuo tutahema.. Tukitegemea watoto wapatiwe mkopo na serikali hiii kwa hiyo background ya hapo nyuma.

Tujiandae kisaikilojia
Maana serikali imekuwa na sirikali kwa wananchi wake katika maswala ya maendeleo.
 
Alisoma chini shule gani? Kuna huu uwekezaji mkubwa tunaofanya wazazi shule za binafsi na aghali sana. Yani baby class to class 7 unalipa millions of money per year, tunaingia secondary level tunalipa millions nyingine za kutosha tunaamini kuwa wakifika Chuo tutahema.. Tukitegemea watoto wapatiwe mkopo na serikali hiii kwa hiyo background ya hapo nyuma.

Tujiandae kisaikilojia
Maana serikali imekuwa na sirikali kwa wananchi wake katika maswala ya maendeleo.
Kama una biashara focus huko na mwanao kwa sababu sio wewe tu ambaye umewekeza pakubwa umetelekezwa hata wale walioeomesamga kwenye hizo hizo shule za serikali pia wametupwa

Hapa nahisi Kuna mchezo bodi ya mikopo wanataka kuucheza tena mchafu sana
 
Hadi sasa wanajamvi sielewi kama zile taarifa za kuwa mwaka huu zaidi ya wanafunzi 220000 wanatajwa kunufaika na mkopo wa masomo kutoka heslb kuwa ni kweli, kwa sababu kila siku hapa kitaa madogo walioenda chuo kwa bashasha lote wanarudi kitaani na sura zilizokosa tumaini kabisa, yaani ni huruma na inasikitisha sana.

Hebu fikiria yaani kwa sababu tu mtu eti mtu ana wazazi wawili (ambao pengine hawana background ya kuajiriwa) hapewi mkopo kabisa au anapewa mkopo sawa na wa vicoba. Yaani mtu ameapply kusomea udaktari ambao ada take ni 1.8m halafu unampa laki mbili kweli? Mtu ameapply kusomea uhandisi ambao ada yake ni 1.5m halafu unampa laki mbili? Jamani serikali yetu pamoja na taasisi husika kuweni na utu jamani watu wanasoma kwa shida, watu wanatumia gharama kubwa sana kusomesha wengine hudunduliza hadi akiba zao za mwisho kuwasomesha watoto wao wakijua baadaye serikali itawatua mzigo lakini hiki mnachofanya ni nini?

Mwaka huu ninaamini 40% ya wanafunzi walioomba mkopo na kutaka kuanza masomo ya chuo Kikuu hawataanza maana serikali imewatupa mkono, imebaki tu kuiaminisha jamii na takwimu zao bandia za bilioni 700 na wanafunzi laki mbili.

Huu ni unyama wa kihinsia, tunajua mwenye shibe hamkumbuki mwenye njaa ila basi tumieni hata ile njaa mnayoipata asubuhi kujua kuwa Kuna watu hawali siku nzima. Yaani kwa kifupi asilimia kubwa wanafunzi walioomba mkopo wamepewa asilimia 16%, Kuna watu ada ya shilingi elfu 70 kwa mwaka walipokuwa sekondari ilikuwa inawashinda sembuse milioni 1.8? Kweli jamani!!??

Hebu bodi ya mikopo na wizara husika kaeni muangalie ni jinsi gani mtawasaidia hawa wadogo zetu, madogo wamejaa na msongo sana huku mtaani, wazazi wao ndo hawa hawa mnaowavunjia vibanda kuweni na utu jamani, dunia ni mapito hii

Poleni sana wadogo zangu hii ndo serikali inayoubutua mwingi hadi nje ya uwanja
Yaani umewaza kama wengi tunavyowaza. Kuna binti katokea Shinyanga huko. Kafika Dar mkopo kakosa. Mama yake ndio unapambana walau hata huu mwaka wa kwanza binti asome akiamini labda mwakani atapata mkopo. Navyoongea sasa hivi kahifadhiwa na rafiki yake hukooo pa kuitwa Pugu na chuo kipo posta bandarini ( chuo cha bandari) imagine nauli za daily. Halafu unasikia watu wamekazana kusifu na kuabudu viongozi. Yaaani huwa nikimtizama yule binti naona atakavyoanza Kuliwa ili tu ajikimu
 
Yaani umewaza kama wengi tunavyowaza. Kuna binti katokea Shinyanga huko. Kafika Dar mkopo kakosa. Mama yake ndio unapambana walau hata huu mwaka wa kwanza binti asome akiamini labda mwakani atapata mkopo. Navyoongea sasa hivi kahifadhiwa na rafiki yake hukooo pa kuitwa Pugu na chuo kipo posta bandarini ( chuo cha bandari) imagine nauli za daily. Halafu unasikia watu wamekazana kusifu na kuabudu viongozi. Yaaani huwa nikimtizama yule binti naona atakavyoanza Kuliwa ili tu ajikimu
Kama yupo DSM mshauri aende helsb ofisini kwao
 
Kama yupo DSM mshauri aende helsb ofisini kwao
Sawa. Ila ukimtizama tu. Kama una utu ndani yako lazima usikitike... Ila mama yake ameamua kukomaa( anagonga kokoto mitaa ya Shunu kahama) ili ampambanie mwaka wa kwanza. Sababu kubwa nyingine ni kuchelewa ku apply mkopo na ilisababishwa na kuchelewa sanaa kupata namba ya NIDA. Bro kama una namna yoyote ya kumsaidia pale Helsb apate mkopo. fanya jambo naamini kuna namna Mungu atakulipa. Binti ni very innocent ila nikimtizama naona soon anaweza kupoteza direction bila yeye kupenda.
 
Sawa. Ila ukimtizama tu. Kama una utu ndani yako lazima usikitike... Ila mama yake ameamua kukomaa( anagonga kokoto mitaa ya Shunu kahama) ili ampambanie mwaka wa kwanza. Sababu kubwa nyingine ni kuchelewa ku apply mkopo na ilisababishwa na kuchelewa sanaa kupata namba ya NIDA. Bro kama una namna yoyote ya kumsaidia pale Helsb apate mkopo. fanya jambo naamini kuna namna Mungu atakulipa. Binti ni very innocent ila nikimtizama naona soon anaweza kupoteza direction bila yeye kupenda.
True ila Mimi sipo DSM mkuu ila kama upo DSM naomba uende pale ofisini Uende naye ikiwa aliomba mkopo na alitimiza vigezo vyao lazima atapata mkopo

Kama utaenda utanambia inbox ili niongezee maelezo naimani Mungu ni Mwema Sana ni nyakati anapita ila atafika salama
 
True ila Mimi sipo DSM mkuu ila kama upo DSM naomba uende pale ofisini Uende naye ikiwa aliomba mkopo na alitimiza vigezo vyao lazima atapata mkopo

Kama utaenda utanambia inbox ili niongezee maelezo naimani Mungu ni Mwema Sana ni nyakati anapita ila atafika salama
Bro Barikiwa inadvance. Ntamwambia na ntakuchek namba yake.
 
Back
Top Bottom