ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
PJ,
Nimesikitika sana kupata hizi habari. Nami naungana na familia ya wana JF kukupa pole za rohoni kabisa....nikitumai yote yatokeayo hapa duniani ni mipango ya mwenyezi MUNGU. Nae akapate kuwafariji katika kipindi hiki kigumu cha kumkosa Baba Duniani lakini tukiwa na Imani kuwa ijapo siku tutajaonana tena!.
Niungane na wengi kuwa nawe Kiroho kutokana na sababu za kijiografia!.
DAIMA IMEMPENDEZA YULE ALIYE TUFANYA, JINA LA BWANA LIHIMIDIWE!
AMEN.
Nimesikitika sana kupata hizi habari. Nami naungana na familia ya wana JF kukupa pole za rohoni kabisa....nikitumai yote yatokeayo hapa duniani ni mipango ya mwenyezi MUNGU. Nae akapate kuwafariji katika kipindi hiki kigumu cha kumkosa Baba Duniani lakini tukiwa na Imani kuwa ijapo siku tutajaonana tena!.
Niungane na wengi kuwa nawe Kiroho kutokana na sababu za kijiografia!.
DAIMA IMEMPENDEZA YULE ALIYE TUFANYA, JINA LA BWANA LIHIMIDIWE!
AMEN.