Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,965
- 10,460
Goeff nimeingia sasa hv nakutana na hii habari, tafadhali nieleze kwenda kitunda ni leo au kesho and what time??
Kitunda ni leo, maiti itasafirishwa kesho kwenda Irambo Mbeya kwa maziko.
Goeff nimeingia sasa hv nakutana na hii habari, tafadhali nieleze kwenda kitunda ni leo au kesho and what time??
Unaumwa malaria imepanda kichwani???
Kitunda ni leo, maiti itasafirishwa kesho kwenda Irambo Mbeya kwa maziko.
Wakuu,
IAM SHOCKED!
HARDEST TIME ON EARTH FOR ME!
Nimepata habari sasa hv nikiwa ofisini, babaangu mzazi amefariki huko Dar hosptal ya Amana.
Niko KWENYE MIPANGO YA SAFARI KUJA DAR, mIpango ya mazishi inafayika KITUNDA, then safari kwenda kwetu Mbeya!
This is jst for info!
PJ pole sana kaka yangu jipe moyo na MUNGU akutie nguvu. Tunajua ni hali ngumu lakini ndio maisha wote tuko njia moja kumbuka
Kulikuwa na familia moja iliyokuwa inaishi katika nyumba nzuri sana ambayo mama wa nyumba hiyo alijitahidi sana kuipendezesha akipanda maua ya kila aina nje ya nyumba yake. Ikawa kila siku asubuhi anaamka anakwenda bustanini anachuma maua yake kisha anayapamba, mengine chumbani, mengine sebuleni na mengine ambayo anayaona si mazuri basi huyatupa jalalani ambako baadaye huchomwa moto.
Na sisi binadamu tu kama maua na MUNGU wetu ndiye aliyetupanda humu duniani. Kila siku YEYE huamua kuchuma ua alipendalo na kwenda kulipamba anapopenda yeye ndani ya nyumba yake. Hatuna uwezo wa kumzuia asichume uwa flani na achukue jingine kwani ni maua yake ni bustani yeke. Sasa basi yatupasa kumshukuru YEYE kwa uamuzi wake wa kulichuma uwa alipendalo toka katika bustani yake na ni wajibu wetu sisi kushukuru kwa jambo hilo na kujenga imani na matumaini kuwa uwa letu (baba yetu mpendwa) limechumwa na kwenda kupambwa ndani ya nyumba kwa kuwa imempendeza YEYE
MUNGU AKUTIE NGUVU PJ. TUKO PAMOJA.
Kitunda ni leo, maiti itasafirishwa kesho kwenda Irambo Mbeya kwa maziko.
Wakuu,
IAM SHOCKED!
HARDEST TIME ON EARTH FOR ME!
Nimepata habari sasa hv nikiwa ofisini, babaangu mzazi amefariki huko Dar hosptal ya Amana.
Niko KWENYE MIPANGO YA SAFARI KUJA DAR, mIpango ya mazishi inafayika KITUNDA, then safari kwenda kwetu Mbeya!
This is jst for info!
ninawapa watu namba zako wakupe pole mkuu!...
watakupigia
Mze wa pond,Geoff, nashukuru sana kwa kunistua through sms, maake nilikuwa busy na safari sikuingia hapa mahali tangia asubuhi........! ubarikiwe sana kwa moyo huo!
PJ,
Najaribu kukumbuka moyo wako ulionyesha wakati ule wa msiba wa babu yake na member mwenzetu SIPO, kwa akili yangu ya kibinadamu sidhani kama u deserved this man! Naona kabisa JF tunawajibika kwa moyo mmoja kama ulionyesha kwa SIPO kukusupport kwa mwili na roho, kwa sala na maombi katika kipindi hiki kigumu sana kwako......! Nimejaribu kukupigia wewe binafsi sijakupata, lakini takupigia tu nikupe pole kwa sauti......! nimeguswa sana na msiba huo!
I know as family, you have lost a lovely father and please note that, there in no way to escape such a DIVINE gift from God. We loved him, but God has loved him the most. Yeye katangulia, sisi nasi tutakinywa kikombe hicho. Jina la bwana lihimidiwe......!
Rest in Peace mzee wetu......!
Mze wa pond,
you have driven me into tears!!!
I am seeing a wonderful spirit ya solidarity na deep brotherhood kila siku iendayo kwa mungu
Geoff--- usibadilike, nimepata details na tuko pamoja..
Yes, Docebit......we are trying as much as possible to put ''theoretical'' kind of life behind ''bars'' .......for many of us, we have nothing to hide but much to share, especially during the difficult times.....such as this one facing our fellow PJ!!...so much welcome to the unconditional alliance!