understood!pj
na sisi binadamu tu kama maua na mungu wetu ndiye aliyetupanda humu duniani. Kila siku yeye huamua kuchuma ua alipendalo na kwenda kulipamba anapopenda yeye ndani ya nyumba yake. Hatuna uwezo wa kumzuia asichume uwa flani na achukue jingine kwani ni maua yake ni bustani yeke. Sasa basi yatupasa kumshukuru yeye kwa uamuzi wake wa kulichuma uwa alipendalo toka katika bustani yake na ni wajibu wetu sisi kushukuru kwa jambo hilo na kujenga imani na matumaini kuwa uwa letu (baba yetu mpendwa) limechumwa na kwenda kupambwa ndani ya nyumba kwa kuwa imempendeza yeye
mungu akutie nguvu pj. Tuko pamoja.
kwa yoyote atakayeguswa na kwenda msibani naomba anipiemu ili tujipange!
tayari wanne tumeshathibitisha kwenda
nilidhani ni vyema tukaenda COLLETIVELY kama friends of pj,from jf
kitunda!....Geoff mcibani unamaanisha Kitunda au Mbeya?
Muda wa kwenda ni saa ngapi?kwa yoyote atakayeguswa na kwenda msibani naomba anipiemu ili tujipange!
tayari wanne tumeshathibitisha kwenda
nilidhani ni vyema tukaenda COLLETIVELY kama friends of pj,from jf
Wakuu,
IAM SHOCKED!
HARDEST TIME ON EARTH FOR ME!
Nimepata habari sasa hv nikiwa ofisini, babaangu mzazi amefariki huko Dar hosptal ya Amana.
Niko KWENYE MIPANGO YA SAFARI KUJA DAR, mIpango ya mazishi inafayika KITUNDA, then safari kwenda kwetu Mbeya!
This is jst for info!
tutakubaliana mara tutakapothibitisha amefika dar!...Muda wa kwenda ni saa ngapi?
Wakuu,
IAM SHOCKED!
HARDEST TIME ON EARTH FOR ME!
Nimepata habari sasa hv nikiwa ofisini, babaangu mzazi amefariki huko Dar hosptal ya Amana.
Niko KWENYE MIPANGO YA SAFARI KUJA DAR, mIpango ya mazishi inafayika KITUNDA, then safari kwenda kwetu Mbeya!
This is jst for info!
Wakuu,
IAM SHOCKED!
HARDEST TIME ON EARTH FOR ME!
Nimepata habari sasa hv nikiwa ofisini, babaangu mzazi amefariki huko Dar hosptal ya Amana.
Niko KWENYE MIPANGO YA SAFARI KUJA DAR, mIpango ya mazishi inafayika KITUNDA, then safari kwenda kwetu Mbeya!
This is jst for info!
Wakuu,
IAM SHOCKED!
HARDEST TIME ON EARTH FOR ME!
Nimepata habari sasa hv nikiwa ofisini, babaangu mzazi amefariki huko Dar hosptal ya Amana.
Niko KWENYE MIPANGO YA SAFARI KUJA DAR, mIpango ya mazishi inafayika KITUNDA, then safari kwenda kwetu Mbeya!
This is jst for info!
pamoja!...Pole sana ndugu yangu... umeumbwa ili ukutane na haya na nina imani kabisa Mungu ana mipango bora kila wakati, hivyo basi hata kwa hili ni anafungua tu chapter mya kwenye maisha yako
NIMEONA UMOJA ULIOONYESHWA NA WAPWA CLAN KWAKWELI MNALETA FARAJA KUBWA!!