Pro-Chadema-jf, mna upofu kila jambo la Chadema kweni ni zuri, sasa huyu Heche anaongea nini cha maana
Kwa level yako ni kweli kabisa haongei cha maana. Ni level tu mkuu uliyonayo. Ndio maana tunajitahidi sana ili angalau uelewa uwe juu kidogo ndipo mabadiliko makubwa yatakapotokea.