Suphian Juma
Senior Member
- Apr 2, 2019
- 133
- 546
SUPHIAN STAR TV LEO 3:30 USIKU NA CHIFU ODEMBA
Leo Jumamosi saa 3:30 usiku nitakuwa LIVE Star TV studio za Dar es Salaam Kipindi cha Medani za Siasa na Mtangazaji wa Kimataifa Chief Odemba ambapo nitahojiwa juu ya harakati zangu za Siasa, na namna ninavyoutafsiri Uongozi na Siasa karim za Rais Dkt Samia.
Tutakuwa mubashara pia kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo YouTube Star TV.
KAA CHONJO!!
Leo Jumamosi saa 3:30 usiku nitakuwa LIVE Star TV studio za Dar es Salaam Kipindi cha Medani za Siasa na Mtangazaji wa Kimataifa Chief Odemba ambapo nitahojiwa juu ya harakati zangu za Siasa, na namna ninavyoutafsiri Uongozi na Siasa karim za Rais Dkt Samia.
Tutakuwa mubashara pia kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo YouTube Star TV.
KAA CHONJO!!