Heche na Nape katika kipindi cha medani za siasa na uchumi cha star tv

saa 4 na nusu hivi,nusu ya 4 ni 2,so chukua 4+2 unapata 6 (tupilia mbali mda wa "nafikiri")kwa hiyo basi;-"saa 4 nafikiri na nusi hivi" ina maanisha saa 6 (au zaidi ya saa6 ukiongoza "nafikiri")Ridhiwani umeelewa?
Ubarikwe mkuu..
 
saa 4 na nusu hivi,
nusu ya 4 ni 2,
so chukua 4+2 unapata 6 (tupilia mbali mda wa "nafikiri")
kwa hiyo basi;-
"saa 4 nafikiri na nusi hivi" ina maanisha saa 6 (au zaidi ya saa6 ukiongoza "nafikiri")

Ridhiwani umeelewa?

Tuache utani, muda tunataka uwe specific, saa 4 ipi, asubuhi, jioni au usiku? kwani haijawa wazi sana. Plz
 
Yes Kipindi cha MEDANI ZA SIASA cha Star TV leo ni marudio na kinaruka Saa 4 na Nusu baada ya kuisha kwa Taarifa ya Habari.
 
Nimesha-confirm muda sahihi wa kipindi kile ni saa 4.30 asubuhi, kwa saa za Afrika Mashariki. Nisingependelea sana kulumbana hapa! Sasa tufanye mimi sikuwa makini kutoa muda kamili, lakini tayari nilishatoa jina la kipindi, lakini watu fulani wanaonekana kupenda zaidi kubishana kuliko kujenga hoja wanataka kuchakachua tu, mmoja kaenda mbali hata akataja jina la kipindi chake anachojua yeye ambacho mimi sijakisema. Mimi nimesema Kipindi ni Medani za Siasa na Uchumi, washiriki wanatarajiwa kuwa Heche Vs Nape, wewe unanitajia Kipindi cha Tuongee, wapo akina Mbatia, jamani wapi na wapi. Asante tuendelee kuelimishana na kutoa vibanzi na maboriti.
 
Nimesha-confirm muda sahihi wa kipindi kile ni saa 4.30 asubuhi, kwa saa za Afrika Mashariki. Nisingependelea sana kulumbana hapa! Sasa tufanye mimi sikuwa makini kutoa muda kamili, lakini tayari nilishatoa jina la kipindi, lakini watu fulani wanaonekana kupenda zaidi kubishana kuliko kujenga hoja wanataka kuchakachua tu, mmoja kaenda mbali hata akataja jina la kipindi chake anachojua yeye ambacho mimi sijakisema. Mimi nimesema Kipindi ni Medani za Siasa na Uchumi, washiriki wanatarajiwa kuwa Heche Vs Nape, wewe unanitajia Kipindi cha Tuongee, wapo akina Mbatia, jamani wapi na wapi. Asante tuendelee kuelimishana na kutoa vibanzi na maboriti.
Umesomeka mkuu....ila wadau hata hapo juu walikuwa wanataka tu kujua muda specific hayo maneno mengine sio kubishana naona ni kuchamsha tu mjadana na kufanya walau watu wacheke wasahau japo kidogo hizi presha zinazosababishwa na mienendo ya wanasiasa na watawalw wetu
 
Cha Msingi muwe Objective katika Hoja zenu ila Mkianza Mipasho mtabore
 
kipindi kimeanza Nape na Heche ndani ya nyumb
Swali: budget ina msingi upi wa maendeleo?
 
saa 4 na nusu hivi,
nusu ya 4 ni 2,
so chukua 4+2 unapata 6 (tupilia mbali mda wa "nafikiri")
kwa hiyo basi;-
"saa 4 nafikiri na nusi hivi" ina maanisha saa 6 (au zaidi ya saa6 ukiongoza "nafikiri")

Ridhiwani umeelewa?

Mkuu huyo anaweza kuwa Ridhiwani kweli ana akili ndogo hivyo? sidhani!
 
jibu Nape: uchumi na siasa unategemeana, suala la uchumi umekua inategemea na vigezo vya kupimia so lazima kuna utafauti ila uchumi unakua, uchumi unakua umaskini bdo upo hili ndo tatizo na changamoto kubwa.
Swali nini kifanyike uchumi unakua?
Heche Jibu: ni wajibu wa serikali kusikiliza budget ya wa wapinzani na kuchukua yale mazuri na kuyatumia, anapata shida kusema uchumi umekua maisha ni magumu ni shida kuwambia watu uchumi umekua hata viwanda vidogo vidogo havipo
 
Lakini pia, ndugu Heche, Mwenyekiti wa BAVICHA taifa atakuwa Star Tv Vs Nape Nnauye kwenye kipindi cha Medani za Siasa na Uchumi, hapo saa 4 nafikiri na nusu hivi, zipo nondo hapo wakuu watakaokuwa na muda watege sikio. Naomba kuwasilisha wandugu.
.

now i understand why umeme umekatika kwenye saa nne na nusu this morning.

CCM machoko sana. Hawajui mambo haya ya kuzuia watu kuhabarika ni moja ya sababu zinazofanya chama chao kuchukiwa na kuporomoka kila idara.

mapambano yanaendelea.
 
saa 4 na nusu hivi,
nusu ya 4 ni 2,
so chukua 4+2 unapata 6 (tupilia mbali mda wa "nafikiri")
kwa hiyo basi;-
"saa 4 nafikiri na nusi hivi" ina maanisha saa 6 (au zaidi ya saa6 ukiongoza "nafikiri")

Ridhiwani umeelewa?

wewe kilaza hujui math. kwani umeambiwa hiyo nusu ni nusu ya 4?

watu kama wewe ndiyo huwa munaenda bucha unamwambia muuza nyama 'naomba nikatie nyama nusu na robo'.
 
nape kwa miezi 8 Masasi kulikuwa na ujenzi wa kiwanda cha kubangua korosho ameacha 5 vinajengwa, anajisfia kuongeza mapato ya Masasi. Tatizo watu wanakwepa kodi. Na yeye alidhibiti ukwepaji kodi wa korosho Masasi. Na yeye alitia watu ndani kwa kutopalilia korosho, ansema hiyo ni mifani michache ya utendaji kazi ila watu nao wafanye bidii. Anasema vitambulisho vya utaifa ni suluhisho kwa wakwepa kodi mfano kenya
 
nape kwa miezi 8 Masasi kulikuwa na ujenzi wa kiwanda cha kubangua korosho ameacha 5 vinajengwa, anajisfia kuongeza mapato ya Masasi. Tatizo watu wanakwepa kodi. Na yeye alidhibiti ukwepaji kodi wa korosho Masasi. Na yeye alitia watu ndani kwa kutopalilia korosho, ansema hiyo ni mifani michache ya utendaji kazi ila watu nao wafanye bidii. Anasema vitambulisho vya utaifa ni suluhisho kwa wakwepa kodi mfano kenya

ana evidensi yoyote, au ni yele yale ya 'nitaigeuza kigoma kuwa dubai'?
 
Back
Top Bottom