Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,976
- 32,379
Arafat wewe akili yako ni Disability kabisaMkuu huyo anaweza kuwa Ridhiwani kweli ana akili ndogo hivyo? sidhani!
Arafat wewe akili yako ni Disability kabisaMkuu huyo anaweza kuwa Ridhiwani kweli ana akili ndogo hivyo? sidhani!
Mods kama mada yangu iko tayari pengine naomba uipeleke kuunganisha. Nape anatetea kuwa watu walipe kodi ndo watapata maendeleo,misamaha ya kodi /grace period kwa wageni inazungumzika. Heche anasema Nape amebadilika hamtetei mnyonge baada ya kupata cheo. Wanaendelea na mjadala.
nape kwa miezi 8 Masasi kulikuwa na ujenzi wa kiwanda cha kubangua korosho ameacha 5 vinajengwa, anajisfia kuongeza mapato ya Masasi. Tatizo watu wanakwepa kodi. Na yeye alidhibiti ukwepaji kodi wa korosho Masasi. Na yeye alitia watu ndani kwa kutopalilia korosho, ansema hiyo ni mifani michache ya utendaji kazi ila watu nao wafanye bidii. Anasema vitambulisho vya utaifa ni suluhisho kwa wakwepa kodi mfano kenya
Arafat wewe akili yako ni Disability kabisa
Nape bwana, eti wakolon hawakuacha barabara za lami, wao wamejenga lami, kwa hiyo uchumi umekua. Hapa nadhani haelewi tatizo la msingi
Heche anaongea mambo ya msingi sana, hizi zako ndio pumbaNilikuwa sijawahi kumuona huyu Heche, kumbe ni pumba hivi eti anaongelea uchumi hana lolote ananyoosha mikono hovyo na magwanda yake