Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,892
- 32,308
Mkuu mbona unadandia pipe kwa mbele nani kakwambia mimi CCM? Pro-Chadema-JF, yoyote anapingana na hoja zao basi ni CCM mnakosea mimi ni Independent Thinker, mambo ya CCM kamuulize NapeMkuu Nape (a.k.a Mzee wa Vinazungumzika) ni Kiongozi wa CCM, na huu mjadala nadhani utakuwa uemangaliwa na watu wengi sana. Sasa nikuulize ni Kitu ambach Nape ( Mzee wa Vinazungumzika) amekipresent kinaweza kuwa Kimewafanya sasa wananchi waanze Kurudiwa na Imani na CCM?