TUPACified
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 1,367
- 604
Ommy G
Yeah man, ndio huyo mshkaji alikuwa anaigiza uhuni.
Ommy G
kuna dogo aliimba wimbo unaitwa shuka
mashabiki bwana..shuka shuka,hata kabla sijapanda ...shuka shuka...yaan kabla sijachana....shuka shuka...ahh sishuki nadhani alitolewa kwenye fiesta ilikuwa ni iyo ngoma tu..afu akapotea .
1. DOP squad ft dark master--- miondoko huru
2. FDC ft LWP--- kindumbwendumbwe
3. Computer --- mwezi wa misukosuko(jamaa anawakilisha BDP)
4. Imani---Farida
1- Elly Longombadaaaaaaa! asanteni kwa kunikumbusha enzi hizo. redio free na mini, mimi na redio freee
ray lee rah p alipata majanga gani tena? nlimzimia sana enzi zile duh
1. funguo ulio potea(mwimbaji simkumbuki
2. story tatu tofauti(mwimbaji simkumbuki
3. kuna jamaa alikua akiimba anatia kionjo cha HUUU AAAA katikati ya verse zake. Amaaa kweli ukisikiliza hizi nyimbo za chekecha chekecha za kina alikiba huwezi jia bgleva imetokea wapi.
Dah, we jamaa nimekukubali sana aisee, Umenikumbusha Ommy G na style yake kama ya DMX. Hizi pini tatu za juu nilikua nazipenda sana. E-Money kama nimeiona juzi video yake mpya.
Otherwise nitupie basi hizi vitu nizipakue kama unazo Mkuu wangu!
Hapo zamani nilipoanza kuimba,ndo huyo huyo.chorus yake ilikuwa hivi: masela wangu eenhee nawaeleza ukweli toka moyoni mimi sina pamba zakupandia jukwaani nifanye nini au niache fani [kibwagizo:haiwezekani] x2
Watu wanamkumbuka tu Dah Joh kwenye hii pini, lakini sijui kwa nini wanamsahau alieshiriki nae anaitwa BAD SPARK, jamaa alichana sana humu, ana sauti Fulani hivi kama ya Mr. 2 - Sugu!Mkuu unayo hiyo ngoma ya Da joh?
dah wimbo mkali sana huo!kuna jamaa alikua anaitwa B Boy - alitoa nyimbo inaitwa Sina Demu, sio kwamba mimi staki demu, kama unavyoniona mpeenzi ndo mana nimekuchagua we ukidhi yangu mahitaji...etc etc
Anaitwa HONGERA mkuu
Mo music basi nenda
Mo music basi nenda
raha p alienda marekani kusoma..ikafika kipindi akashindwa kujilipia ada..akakutana na mshikaji mmoja wakafall in luv na mshkaji akaahidi kumsomesha..kumbe jamaa alikuwa mzinguaji..hakuna shule wala nn..jamaa akamjaza mimba zen baada ya muda mshikaji akaja kufungwa miaka 25 coz alikuwa anajihusisha na madawa ya kulevwa