Hawa ni wasanii waliohit na ngoma moja na kupotea

Joan=dar es salaam by night.
Baada ya apo alishirikishwa na dataz kweny Mume wa Mtu,akatokomea mazima.
 
Ras lion= Umaskini huu ft john wolker
Bashary=Mama
Jumanne iddi wa BSS= Mama ndolelaga
Beka=we ndo nyota yangu km tid,ukilia ntakubembeleza km amini...ilikuwa ni rmx ya wimbo wke flani ivi jina limenikimbia
Kura Yangu...huyu jamaa nimemsahau jina but hii ngoma ilikuwa ft Sugu n j.nature
 
Kuna wasanii wa Bongo Fleva waliofanikiwa kuhit sana na kujitambulisha vyema but wakashindwa kumaintain either kwa kutoa nyimbo zenye ubora unaoendana na uliowatambulisha or wakaingia mitini kabisa hawakusikika tena na nyimbo nyingine, kwa lugha nyingine tunaweza sema 'waliotea'. Hawa ni baadhi;

1. ZAY B-----> Baada ya kusumbua sana na ngoma yake ya GADO (Original na Remix) akapotea mazima, kuna kipindi hivi karibuni alikuwa anajaribu kurudi but wimbo wake ulifeli kama zilivyofeli nyingine alizoachia baada ya GADO.

2. PIG BLACK-----> Mchizi alisumbua sana mwanzoni mwa miaka ya 2000 na ngoma yake ya 'NINI MNATAKA MAZEE' wenye moja kati ya beat bora kabisa za Majani, alitoa ngoma nyingine kama 'Nisikilize' aliomshirikisha Blue na nyingine kadhaa but hazikufanikiwa kukaribia kiwango cha wimbo uliomtambulisha.

3. K-SAL-----> Alitoa wimbo unaitwa 'MWANA MKIWA' akimshirikisha Feruzi kwenye chorus, ulikuwa mkali na ulihit lakini baada yapo sijui alipotelea wapi.

4. RAH P----> Alikuja kwa fujo na wimbo wake 'HAYAKUHUSU' yenye video kali kwa kipindi hicho, baada ya hapo sijui nini kilimpata.

5. RADO-----> Huyu mshkaji alikuja kwa mbwembwe za bifu na Fid Q, aliachia ngoma kali sana ya Hiphop 'USIULIZE' ilisumbua si kidogo. Then akaachia ngoma ya pili 'WEWE', haikufanikiwa kubamba, akapotea mazima.

6. H-MBIZO-----> Alibamba na ngoma yake ya 'MCHUMBA(NILONGE NISILONGE)' then hakusikika tena.

7. J.I (MTOTO WA NZEGA)------> Jamaa alisumbua sana na ngoma yake ya 'KIDATO KIMOJA' ambapo ilikuwa inabamba both kwenye Redio na Tv, baada ya hapo sijui nini kilimkuta.

8. TOP C------> Alikuja na ngoma iliyohit sana 'SABABU YA ULOFA', ikahisiwa jamaa atakava vzuri nafasi ya Diamond aliyoiacha Sharobaro rec baada ya kujitoa na hivyo kuendelea kuisimamisha vizuri lakini waapi, naye akarudi alipotoka.

9. ADILI (CHAPAKAZI)-----> Huyu jamaa kaanza game kitambo ila wimbo wake wa 'PEKE YANGU' ndo ulifanikiwa kumtambulisha vyema, na baada ya hapo hakufanikiwa tena kuachia ngoma level hizo.


10. IMAMU ABBAS-----> Baada ya kutoka na bonge la ngoma linaitwa 'BILA SANAA' akatoweka kwenye game. Sijui aliotea


#Hawa ndo niliowakumbuka, unaweza ongezea niliowasahau

Aisee Adili a.k.a hisabati jamaa nakumbuka show yake 1 hiv pale diamond hall ilikua uznduz wa albam ya feruz "starehe" jamaa anajua kumilik jukwaa aisee huyu bwana hatariee.
 
Rafael:Ni jinsi gani tutawini maishani ahh ni namna gani.Ni namna gani tutawini maishani mpaka siku tunasema buriani.
 
Kuna wimbo mmoja mashair yake yanaimba hivi....."mama usiniuwe unidhuru roho yanguu, usiende kwa dokta kunitoa uhai wangu, bado kitambo kidogo tumboni utanitoaa, ukijutia taabu na raha uzijutieeeh, starehe zenu zimenifanya nikae humuu,,,, ,,marashi ya upendo ya ulilia nafsi yanguu, usiende kwa dokta kunitoa uhai wanguu" dah sijui anaitwa nan huyu jamaa mwenye nayo akinipatia niko tayar kumpa ela
 
Sema we sema wewe x2 usiposema leo jiulize ni lini utasema...by shekh & Adhili

Hahahahaaa,Mkuu umenikumbusha mbali sna hawa vijamaa,hii ngoma yao ulisumbua sana kitambo icho...cjui walikuwa wanatafuta hela ya ada hawa madogo.
 
Kuna wasanii wa Bongo Fleva waliofanikiwa kuhit sana na kujitambulisha vyema but wakashindwa kumaintain either kwa kutoa nyimbo zenye ubora unaoendana na uliowatambulisha or wakaingia mitini kabisa hawakusikika tena na nyimbo nyingine, kwa lugha nyingine tunaweza sema 'waliotea'. Hawa ni baadhi;

1. ZAY B-----> Baada ya kusumbua sana na ngoma yake ya GADO (Original na Remix) akapotea mazima, kuna kipindi hivi karibuni alikuwa anajaribu kurudi but wimbo wake ulifeli kama zilivyofeli nyingine alizoachia baada ya GADO.

2. PIG BLACK-----> Mchizi alisumbua sana mwanzoni mwa miaka ya 2000 na ngoma yake ya 'NINI MNATAKA MAZEE' wenye moja kati ya beat bora kabisa za Majani, alitoa ngoma nyingine kama 'Nisikilize' aliomshirikisha Blue na nyingine kadhaa but hazikufanikiwa kukaribia kiwango cha wimbo uliomtambulisha.

3. K-SAL-----> Alitoa wimbo unaitwa 'MWANA MKIWA' akimshirikisha Feruzi kwenye chorus, ulikuwa mkali na ulihit lakini baada yapo sijui alipotelea wapi.

4. RAH P----> Alikuja kwa fujo na wimbo wake 'HAYAKUHUSU' yenye video kali kwa kipindi hicho, baada ya hapo sijui nini kilimpata.

5. RADO-----> Huyu mshkaji alikuja kwa mbwembwe za bifu na Fid Q, aliachia ngoma kali sana ya Hiphop 'USIULIZE' ilisumbua si kidogo. Then akaachia ngoma ya pili 'WEWE', haikufanikiwa kubamba, akapotea mazima.

6. H-MBIZO-----> Alibamba na ngoma yake ya 'MCHUMBA(NILONGE NISILONGE)' then hakusikika tena.

7. J.I (MTOTO WA NZEGA)------> Jamaa alisumbua sana na ngoma yake ya 'KIDATO KIMOJA' ambapo ilikuwa inabamba both kwenye Redio na Tv, baada ya hapo sijui nini kilimkuta.

8. TOP C------> Alikuja na ngoma iliyohit sana 'SABABU YA ULOFA', ikahisiwa jamaa atakava vzuri nafasi ya Diamond aliyoiacha Sharobaro rec baada ya kujitoa na hivyo kuendelea kuisimamisha vizuri lakini waapi, naye akarudi alipotoka.

9. ADILI (CHAPAKAZI)-----> Huyu jamaa kaanza game kitambo ila wimbo wake wa 'PEKE YANGU' ndo ulifanikiwa kumtambulisha vyema, na baada ya hapo hakufanikiwa tena kuachia ngoma level hizo.


10. IMAMU ABBAS-----> Baada ya kutoka na bonge la ngoma linaitwa 'BILA SANAA' akatoweka kwenye game. Sijui aliotea


#Hawa ndo niliowakumbuka, unaweza ongezea niliowasahau

angel wewe ft child Benz na Amber rose
 

Similar Discussions

4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom