Kuna jamaa wa Mwanza walikuja na BOSS NIPE MSHAHARA WANGU pamoja na ingine ya MWANZA ZIREKEBISHWE BARABARA, hawa jamaa sijawasikia tena!
Mkuu awa walijiita BWV, mmoja alishafariki kitambo mwingine mtangazaji redio moja hapa mjin inaitwa passion fm, anaitwa filbert kabago