Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
Wana mpango wa kuunda tume no longer from now nadhani ni baada ya Rais kusaini huu mswada unao mpa power kubwa na majumu lukuki kana kwamba hatuna bungeJe, hiyo tume itaundwa mwaka 2015?
Wana mpango wa kuunda tume no longer from now nadhani ni baada ya Rais kusaini huu mswada unao mpa power kubwa na majumu lukuki kana kwamba hatuna bungeJe, hiyo tume itaundwa mwaka 2015?
Wamerudi sasa ole sendeka anaongea sheria ikipitishwa inaanza kutumika dec 1 2011:
Eti ni sawa rais kuteua wajumbe kwa kuwa sifa za wajumbe zimeainishwa. Sasa jaman sis tumeona uteuzi mbovu wa jk duh duh si atajaza watu watakao kuwa pro CCM.
Anashangaa watu kuhoji madaraka ya rais
Bunge litapitisha tu..... acheni kupoteza muda, focus iwe kwa wananchi kukataa au kukubali through referrendum.
Umesikia amehama chama? Atakuwaje kinyume na maazio ya chama kumbuka huwa kunakuwa na vikao vya chama ili kuwa na msimamo wa pamoja juu jambo fulani hivyo hata Mtatiro anaunga mkono ingawa hajasema kwani yeye ni bossSijaelewa msimamo wa Julius Mtatiro wa CuF kwani naona wabunge wa CuF wameunga mkono kila hoja ya ccm. Labda atuambie yeye amejiweka kwenye kundi gani katika hili suala.
Wanafanya, ila ngoja nikuulize kama unajua IMF kazi yake ni nini?We unazungumza.kwa nafasi aliyokuwa nayo mtei lazim angeshauri hivyo.
Kwan IMF NA WORLD BANK hazifanyi kazi nchin?(kama watoa mikopo katika miradi ya maendeleo)?
Wangepitisha watu wao hata kama tungetumia mfumo wa Kenya. Tatizo ni Bunge kuwa 80% CCM.Heri kupoteza muda sasa kuliko kupoteza muda huko baadaye. Watapitisha lakini hawataweza kulazimisha mawazo yao kutekelezwa.
Umesikia amehama chama? Atakuwaje kinyume na maazio ya chama kumbuka huwa kunakuwa na vikao vya chama ili kuwa na msimamo wa pamoja juu jambo fulani hivyo hata Mtatiro anaunga mkono ingawa hajasema kwani yeye ni boss
Hapana mkuu. Ila ukweli unabaki palepale, CCM iliridhia uwepo wa vyama vingi kinyume na referrendum.
Sendeka anaumwa? Hivi kwanini wanashikilia kuwa ni CCM iliyoruhusu vyama vingi?
Watachagua vyama vingi. Ila hiyo haiondoi fact kwamba CCM iliruhusu vyama vingi, ingawa referrendum ilikataa.
Tanznia unayoizungumzia wewe ni tofauti na hii ya sasa hivi. Wananchi hawakutaka vyama vingi for whatever reasons.Ni mtu mwenye matatizo ya afya ya akili pekee anayeweza kuimba wimbo wa kwamba ccm ndiyo iliruhusu vyama vingi, kwakuwa atakuwa hajui kwamba upepo wa mabadiliko ulikuwa umeshavuma pande zote za dunia na kwa namna ya pekee barani afrika na kwahiyo hakukuwa na njia mbadala isipokuwa Tanzania kama nchi kuanzisha mfumo wa vyama vingi. Hii hawawezi kamwe kuigeuza kuwa fadhila hata siku moja, ni kama wanavyojaribu kupotosha watu kwa kusema katiba mpya ni fadhila ya raisi!!
Tanznia unayoizungumzia wewe ni tofauti na hii ya sasa hivi. Wananchi hawakutaka vyama vingi for whatever reasons.
CCM ikaridhia vyama vingi for whatever reasons. Na hakuna mtu aliyezungumzia mambo ya fadhila.
Mkuu, as lon as you don'thave the parliament, maamuzi yenu au uwakilishi wenu wa wananchi hauna mshiko. Nationally and internationally.
You gonna have to deal with it.
Asilimia 78 ya watanzania walikataa vyama vingi. Unaikumbuka ile referrendum?
Nasikiliza hapa Hamad Rashid anatia kinyaa. Anatetea madaraka ya Rais kwamba katiba ya sasa ndio inayompa madaraka makubwa. Ndio maana tunataka katiba mpya isiyompa rais madaraka makubwa na lazima tuanze hapa kumnyang'anya madaraka. Hivi CUF wamepewa nini jamani wamekuwa wapumbavu sasa. Wanatetea kuliko hata ccm yenyewe. Mtu mwenye akili ndogo kabisa atajua kuwa rais ana mamlaka hata ya kubadilisha draft kupitia baraza la mawaziri na kwa vile yeye ndie anateua wabunge wengi wa bunge la katiba, kupitia bunge la katiba anaweza kubadilisha kabisha maoni ya wananchi. Ni zezeta tu ambaye hawezi kuona kuwa katiba hiyo italinda maslahi ya ccm na hivyo hakuna sababu ya kuwa na mchakato
Ngoja nikupe uzoefu wa Kenya:
Kule kenya Rais alipewa nafasi kumi za kuteua, asasi za kiraia na makundi mbalimbali wakateua wawakilishi wao (kulingana na vigezo na sifa zilizoainishwa) na wote hao walienda kuthibitishwa bungeni. Hiyo ni tofauti kabisa na hii ya Rais kuteua wajumbe wa tume ambao uteuzi wake ni wa mwisho hakuna wa kuhoji.
Hadidu za rejea ziondolewe mikononi mwa rais kwani tume haipaswi kuwajibika kwa rais bali kwa wananchi. Hadidu za rejea ziwe sheria katika muswada ili wananchi wawe na sauti katika matokeo ya mchakato huu.
Hayo ni machache tu!
Huu ndio mgonjwa wa hawa jamaa.
Wote wana ugonjwa huu.
Huyo ole sendeka si wanasema alitaga pale old moshi secondary?