Edmond
JF-Expert Member
- Oct 7, 2010
- 359
- 54
Sendeka anaumwa? Hivi kwanini wanashikilia kuwa ni CCM iliyoruhusu vyama vingi?
Hawajui hata kama watanzania 20% ndo walitaka vyama vyingi, kwa njaa zao walilazimishwa na mataifa ya nche, either to go for multiparty or cut all assistance, eti kwasababu ya busara ya tume ikamshauri raisi tuingie vyama vingi, wangekataa wangeona kama wangepata misaada