Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona ole sendeka anasema kuwa lisu alisema kuwa nyerere alimomonyoa vipengele katika mambo ya muungano na hivyo eti lisu alimtukana nyerere.
Sasa nani ateue?.....Wamerudi sasa ole sendeka anaongea sheria ikipitishwa inaanza kutumika dec 1 2011:
eti ni sawa rais kuteua wajumbe kwa kuwa sifa za wajumbe zimeainishwa. Sasa jaman sis tumeona uteuzi mbovu wa jk duh duh si atajaza watu watakao kuwa pro ccm.
Anashangaa watu kuhoji madaraka ya rais
Naona ole sendeka anasema kuwa lisu alisema kuwa nyerere alimomonyoa vipengele katika mambo ya muungano na hivyo eti lisu alimtukana nyerere.
Hamad anaongelea uteuzi wa tume ya katiba. Anatetea rais kufanya uteuzi wawajumbe na kutengeneza hadidu rejea. Eti katiba ya sasa inampa madaraka kufanya teuzi mbalimbali bila kushirikisha bunge. Upupu tu. Naona cuf wameamua kuwa ccm b kabisa kabisa.
Wame break sasa kupata habari za michezo wakirudi ole sendeka naye ataongelea madaraka ya rais katika muswada
Asilimia 78 ya watanzania walikataa vyama vingi. Unaikumbuka ile referrendum?Sendeka anaumwa? Hivi kwanini wanashikilia kuwa ni CCM iliyoruhusu vyama vingi?
Nakumbuka sana!Asilimia 78 ya watanzania walikataa vyama vingi. Unaikumbuka ile referrendum?