Kinyasi
Member
- Nov 22, 2010
- 72
- 31
Dah! Umenikumbusha mbali na ishu ya Njuka. Hujakosea kabisa. Ina maana wabunge wapya ni Njuka pia?kwani alikuwa anamaanisha nini?navyojuwa njuka manake ni form one kipindi kile tulikuwa tukiitwa,then na sisi tukajapata njuka wetu mwaka uliofuata!