samirnasri
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 1,388
- 213
Kwani uongo kuna wabunge wameenda mjengoni kuuza sura tu.
mwenzako huku bd hawajarudisha toka waukate ile asubuhi kweli twiga mnyonge kibokoDamn, wameshakula umeme wao.mpaka saa tano usiku si nitazimia mie bila mwanga.ngoja nitafute njuka mmoja akaniletee mafuta ya taa ya sh mia hivi na ushee!!
​Sera za chama chao.
mchungaji kwani unangojea upewe jibu gani?
Hakuna aibu hapo labda kama hukumsikia wakati anaongea. Kuuza sura hajafuta amesema haiwahusu hao wanaolalamika ila Kambi ya upinzani huo ni msemo wao kwamba hawajaenda mjengoni kuuza sura bali kufanya kazi, kuhusu Njuka amelitolea ufafanuzi na alichofuta ni hyo 'terminology' na si alichomaanisha.halima mdee umetutia aibu cdm kwakuwa hauna msimamo wewe muoga alwayyyyyyyyyyyyyyyyyyys
..............Haaaaaaaaaaaaaa!!! Kwanini Mdee kafuta jamani? kuna wabunge wa CCM ni njuka wa mawazo na wapo pale kusifia point uharo..kazi yao ni kupiga meza na kushangilia ujinga.......
Pole sana! hiyo imekula kwako......wenzio huku kwetu ndiyo wameurudisha mda si mrefuDamn, wameshakula umeme wao.
mpaka saa tano usiku si nitazimia mie bila mwanga.
ngoja nitafute njuka mmoja akaniletee mafuta ya taa ya sh mia hivi na ushee!!
mkuu unanivunja mbavu! Salama lakini?Huenda alitaka kusema aunze kitu ingine!