GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 4,695
- 6,398
Usemi kwamba "adui yako mwombese njaa" una mantiki kubwa sana. Hakuna mbabe wa njaa.
Nani alitarajia kuwa Halima Mdee angepingana na Mwenyekiti wa Chama kilichomlea kisiasa hadi kuwa maarufu kwenye medani za siasa za Tanzania? Alikuwa ni mmoja wa wanachama ambao CHADEMA ilikuwa ikimjivunia kuwa nao.
Lakini alipoona mrija wa ulaji wake upo mikononi mwa watawala, ilimlazimu akubali kuwasikiliza wao badala ya Chama kilichomfunza Siasa.
Nani alitarajia kuwa Halima Mdee angepingana na Mwenyekiti wa Chama kilichomlea kisiasa hadi kuwa maarufu kwenye medani za siasa za Tanzania? Alikuwa ni mmoja wa wanachama ambao CHADEMA ilikuwa ikimjivunia kuwa nao.
Lakini alipoona mrija wa ulaji wake upo mikononi mwa watawala, ilimlazimu akubali kuwasikiliza wao badala ya Chama kilichomfunza Siasa.