Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,589
- 19,487
Bado siamini kama kweli hizi kesi za mafisadi zitazaa matunda yoyote ya maana ingawa vile vile sina sababu ya maana ya kutoiamini serikali hii kuwa inafanya ukweli.
Network ya mafisadi hapa kwetu imekuwa kama vile taa za krismas, kuwa ukiunguza moja basi kuna nyingine kadhaa pia hazitawaka. Tatizo liko pale kwenye ambazo hazitawaka, kwani inawezekana mojawapo ndiyo yenye rangi nzuri sana, ambayo hutaki izimike.
Network ya mafisadi hapa kwetu imekuwa kama vile taa za krismas, kuwa ukiunguza moja basi kuna nyingine kadhaa pia hazitawaka. Tatizo liko pale kwenye ambazo hazitawaka, kwani inawezekana mojawapo ndiyo yenye rangi nzuri sana, ambayo hutaki izimike.