Kinyambiss
JF-Expert Member
- Dec 2, 2007
- 1,374
- 72
JF= the MOB... if the law actually listened to ubwabwa ambao watu wanaongeaga humu.. society wud be very dangerous..lol
...Nakiri ukihiyo kwa maana uliyoiweka hapo kwani nilipitia LL.B ya kuzugia tuu hata kuipata degree yenyewe ni kama kuiokota tuu baada ya Supp nyingi na DISCO kadhaa ikiwemo kurudia mwaka.
Sentensi hazina ukinzani wowote one needs only to be a deep thinker to grasp the meaning. Sorry you are not.
Kitendo cha kutetewa na mmoja wa walimu wangu wa sheria pale Mlimani, Prof. Shaidi ni uthibitisho tosha kuwa the case against him has no merit
... a good example, ukisikia kesi yoyote inatetewa na Prof. Issa Shivji, ujue kesi hiyo ni ngumu
Mkuu FMES kwanza heshima mbele.
Pili, nimekubali yaishe na tusubiri matokeo.
Yote mliyoyasema nimeyakubali naomba mjadala kuhusu comments zangu ufungwe na tuendelee na hoja husika. Please no more quoting me
Natanguliza shukrani. Tuendeleze jamvi.
Tusihamanike sana na hizi kesi za ufisadi kwa ajili ya hasira na machungu ya umasikini wa nchi yetu. Kuna mafisadi tena mafisadi kweli, watashinda kesi na serikali italipa fidia ya mabilioni mengine. Na kuna kondoo wa kafara miongoni mwa mafisadi, watahukumiwa na watakwenda jela kwa kulinda maslahi ya mafisadi wanene zaidi ambao wanaendelea kutesha kwenye mavogue yao, vioo vyeusi na kiyoyozi kwa kwenda mbele. Only time will tell.
Simtetei kwamba Mgonja ni mtu safi maana yale yanayofanyika chini ya kapeti siyajui bali ni mtu ninayemfahamu kwa karibu, amini usiamini ni mtu mwadilifu na naamini yoyote aliyoyafanya yawe mema ama maovu, he did in good faith.
ni uthibitisho tosha kuwa the case against him has no merit bali serikali katika kiherehere chake cha kutafuta kurudisha imani kwa wananchi kwamba iko serious kudeal na madudu yasiyoeleweka na badala yake sasa itaishia kupata aibu.
Hii ni post ambayo kwangu mimi ndio inaongoza kwa kuboa in 2008, ah huu mwaka bwana bora upite tu maana wachekeshaji wapo wengi
Kwa siku hizi za funga mwaka, sio mbaya post yangu ikaongoza kwa kuboa 2008 na ni kweli niliwahi kuwa mchekeshaji siku za nyuma. One good thing is certain, some comedian are teling the truth sometimes. I belive in 'Seek the truth, and the truth will set you free'. Naamini ni ukweli ndio utawadhibitishia umma nani fisadi na nani siye na sio kwa kuwaandika sana hapa JF.
This is the single most ridiculous comment I've ever read in the forum.
............................kweli kabisa.
If its true ndio most ridiculous coments, basi haya ni ya Musa tuu, tusubiri na ya firauni(Pharaoh).
Kusomea sheria sio kuwa mwanasheria.
Wakili ana matter sana kwenye mwenendo wa kesi. Kama kuna wale wenzangu na mimi wa miaka hiyo. Fanya reference ya Wakili Murtaza Lakha.
Kama kumsifia Prof wangu wa chuo ni kosa, tusubiri utendaji wake.
Namalizia kwa kusisitiza nimesema simtetei Mgonja kwa kilichomfikisha mahakani lakini Mgonja ninayemfahamu mimi ni mtu safi.kwa hili naomba tusubiri mahakama itamke vinginevyo.
Kuna mwizi ambaye atakueleza au kukubali kwamba ni Mwizi? kwa nje atakuonyesha ni mtu safi, pili yule unaye mfikiria ni mwizi utakuta si mwizi.
Jamani nilianza kwa kusema simtetei kwa sababu sijui aliyoyafanya yakamfikisha hapo. Nimesema namfahamu Gray Mgonja at personal capacity, he is good man.
Najua watu wana usongo sana na wimbi la ufisadi uliolitafuna taifa letu. Sasa isiwe hata wema tunaowajua maadam wameshitakiwa basi woote ni mafisadi. Kwa nini tuandikie mate wakati wino upo?. Tusubiri matokeo ya kesi ya Mgonja, watakaolia, watalia na tutakaocheka tutacheka.
Baada ya kutoka listi ya makampuni 22 ya ufisadi wa EPA, nakumbuka nilijitokesa nikatetea baadhi ya makampuni kuwa ni watu ninaowafahamu na wamefanya clean deal. Nilishutumiwa hivi hivi. Matokeo yake kesi zimepelekwa mahamani hayo makampuni hayamo.
Sio kila adhaniwaye fisadi lazima awe fisadi na kuna ambao hawadhaniwi kabisa kwa kushinda kwenye nyumba za ibada na michango mbalimbali kusaidia huduma za jamii, kumbe ni mafisadi wanaofidi kuliko hata mafisadi wa EPA. Umdhaniye ndiye....
There is no way kukawa na wizi hazina ama BOT bila ya uhusika wa mgonja...hata wa kunyamaza kimya.....
Tanzanianjema
Kwa mujibu wa sheria zetu, kila mtu anadhaniwa kuwa ni mtu safi mpaka mahakama ithibitishe vinginevyo.Mwenye uwezo wa kuthibitisha kosa ni mahakama pekee.
Hata watuhumiwa wote wa EPA kwa mujibu wa sheria ni watu safi mpaka watakapo thibitishwa.
Tusihamanike sana na hizi kesi za ufisadi kwa ajili ya hasira na machungu ya umasikini wa nchi yetu. Kuna mafisadi tena mafisadi kweli, watashinda kesi na serikali italipa fidia ya mabilioni mengine. Na kuna kondoo wa kafara miongoni mwa mafisadi, watahukumiwa na watakwenda jela kwa kulinda maslahi ya mafisadi wanene zaidi ambao wanaendelea kutesha kwenye mavogue yao, vioo vyeusi na kiyoyozi kwa kwenda mbele. Only time will tell.
- Mkuu jaribu kua current na how siasa na sheria kwa viongozi works in bongo, ukiwa kiongozi kwanza unashutumiwa kwa ufisadi, then rais anakutema kwenye uongozi au unajiuzulu, halafu unaenda Kisutu so far tuko kwenye the right track na Mgonja,
Mkuu Pasco, Rais wetu hakutemi bila kupewa legal facts against you maana alionywa siku nyingi na wabunge kua awateme wote wachafu, kesi za Mgonja ni kama za Mramba, ni nyingi sana kuliko zilizosemwa tayari kwa hiyo mkuu hii safari ni ndefu sana yaani mpaka 2010 serikali haina haraka.
Mkuu FMES kwanza heshima mbele.
Pili, nimekubali yaishe na tusubiri matokeo.
Yote mliyoyasema nimeyakubali naomba mjadala kuhusu comments zangu ufungwe na tuendelee na hoja husika. Please no more quoting me
Natanguliza shukrani. Tuendeleze jamvi.
Pasco,
..ni kitu gani ambacho kinakufanya uamini kwamba Mgonja ni muadilifu. unaweza kutupa mifano michache?
..mwisho, kwa jicho la mwanasheria, kwanini unaona kesi dhidi ya Mgonja haina merits. kwanini unafikiri serikali imekurupuka ktk kupeleka mashtaka haya? vilevile sheria zetu zinaelekeza adhabu gani kwa watuhumiwa wa mashtaka kama ya Mramba,Yona,na Mgonja.
NB:
..kuna waliopendekeza Mramba,Yona,na Mgonja, washitakiwe kwa uhujumu uchumi. kwa mtizamo wa mwanasheria, kwanini unafikiri serikali haikupeleka kesi ya namna hiyo?
Haya ni mabishano yaliyofuatia kuhusu coment yangu on Gray Mgonja, mlinibeza sana, lakini hatimaye kilichotokea wote mmekishuhudia!, the end justify the means, siku zote ukweli tuu ndio utakaosimama mpaka mwisho!, na kwenye kanuni ya kulia na kucheka, he who laugh last. laugh most!.Hivi wewe unadhani mtu mbaya anyezungunziwa hapa ni yuelea anyetukana hadharani,mgomvi,anapiga wezake,anaongea vibaya na watu.............!?
Wake up acha kututea ujinga kama unajua mambo ya sheria na mashtaka kuna kitu kina itwa "wizi wa kuaminika" hii inausisha smart people na wenye sifaa nyingi nzuri tu .Unayemtetea ww anawezekana anasifa nzuri tu za mahusiano na watu kama ww na wengine,pia ni mchapa kazi hodari ,msomi makini na n.k,lakini aliyofanya kafanya akijua nafanya nini so stop talking ya nonesense.
Umeongea vitu vya ajabu hapa yani umeokolewa na uhuru wa kuongea tu,you saved by the bell.
haya ni mabishano yaliyofuatia kuhusu coment yangu on gray mgonja, mlinibeza sana, lakini hatimaye kilichotokea wote mmekishuhudia!, the end justify the means, siku zote ukweli tuu ndio utakaosimama mpaka mwisho!, na kwenye kanuni ya kulia na kucheka, he who laugh last. Laugh most!.
Kuna waliolia na waliocheka.
Funzo ni moja tuu, wakati tukibezana humu, tuwe pia tunaweka na akiba ya maneno!.
Nawatakia saba saba njema!.
Pasco